In photography, exposure is the amount of light per unit area (the image plane illuminance times the exposure time) reaching a frame of photographic film or the surface of an electronic image sensor, as determined by shutter speed, lens aperture, and scene luminance. Exposure is measured in lux seconds, and can be computed from exposure value (EV) and scene luminance in a specified region.
An "exposure" is a single shutter cycle. For example, a long exposure refers to a single, long shutter cycle to gather enough dim light, whereas a multiple exposure involves a series of shutter cycles, effectively layering a series of photographs in one image. The accumulated photometric exposure (Hv) is the same so long as the total exposure time is the same.
Nina kadogo kangu ka kike ambako hakajachaguliwa kwenda advance
Nimejaribu kukachaulia kozi zitakazokafaa kama nilivoonesha hapo chini
Je kwenye hizo kozi ipi ni useless niitoe?
Mradi wa DART umepewa mkurugenzi mpya ambaye ni Kindammba. Kwa utendaji wa Kindammba kama mkuu wa mkoa sidhani kama huyu ni kiongozi wa nafasi za kitaalamu kama makampuni.
Najiuliza baraza la mawaziri lililokaa wiki hii na kumpitisha lilijishauri vyema au lilitumia influence ya kiongozi mkuu...
Bado kuna watu wanaamini ili uwe na exposure lazima uende abroad kwa dunia ya science na technologia unahitaji tu simu yako ya smartphone na bando utajifunza jambo ambalo unalitaka
Sikatazi watu kwenda abroad kama umepata nafasi ni vizuri ila kama hujapata wekeza mda wako kwenye kuperuzi mambo...
Wanabodi
Kuna huu msemo kuona ni kuamini na ni kujifunza!. Je, Tanzania sasa tuanze kuwa tunajifunza mambo mazuri ya wenzetu tunayoyaona kupitia exposure mbalimbali kwenye ziara za Mhe Rais wetu, nje ya nchi?. Je tuige mazuri ya wenzetu yatatusaidia au sisi ni sisi na wao ni wao?
Hoja hii ni...
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Nimekuwa nikifuatilia mambo yanayoendelea kwenye hii nchi nabaki kushangaa tu kama mtalii!
Ukiangalia hata mambo madogo tu ya mtu mmoja mmoja bado ni tatizo kubwa mno!,Hivi Tatizo ni nini?
Nimekuwa nikipitia mitandao kadhaa ya kijamii na kuona namna...
Shalom
1. Prep nini? Ni dawa ya kutumia ili kujikinga na ma'am ukizingatia ya virusi vya ukimwi kwa watu ambao bado hawajaambukizwa na wako katika hatari zaidi ya kuambukizwa vvu.
2. Nani wanufaika wa prep? Prep inapaswa kutumiwa...
Niliwahi kuandika uzi kuhusu uelewa wa watanzania wengi upo chini ya kiwango kinachotakiwa kimataifa, na uzi wenyewe ni huu Uelewa wa mambo kwa Watanzania ni mdogo sana, Ujinga na upumbavu unaongezeka kila mwaka
Mjadala wa kujadili mtu badala ya uwezo wake binafsi ni matokeo ya watu waliokosa...
Kuna binti nlimwonesha dalili ya kumtaka Kimapenzi, ila sikumtongoza direct, kaishia kunitangaza kwa rafiki zake kuwa namtaka, Hajawahi kunikosea chochote na mm sijawahi kumkosea chochote, nashangaa sahiv tukikutana anabadilisha njia tusionane, au saa ingine akiniona anakimbia kabisa..Yani...
Wengi tumejikita na uswahili wetu. Hatujichanganyi dunian kujua Kuna nn? Eti Uchumi wa buluu! Majanga haya. Dunia ni yetu sote tutoke tukutane na wenzetu tujenge networks na strategic partnership.
**Diaspora yetu japo ndogo lakin Kama sisi tu. Full kusifia ili wapate vyeo
Najaribu kutafakari namna Viongozi wetu wenye CV nzuri na waliozunguka dunia wanavyoishi wakipewa madaraka. Ni viumbe wanaoongeza kwa kudanganya na kujidanganya. Pamoja na maisha yote waliyoishi DUNIANI Bado wapo tayari kuishi Kwa uongo uongo wakiamini na wananchi wanadanganyika.
Tulitegemea...
Wasalaam JF,
Kuna binti nimetokea kuwa naye kwenye uhusiano miaka miwili sasa. Nampenda jinsi alivyotulia mpole , mstaarabu ,mcha Mungu na asivyo na tamaa hana makuu. Tatizo Academic exposure yake ipo chini sana , sizungumzii ile exposure ya Kidimbwi na Juliana.
Kifupi huyu binti amesoma na...
Rais Samia anadai na hii namsikia mara ya pili au ya tatu, ati uchaguzi ukiisha Marekani panakuwa hakuna mikutano, isipokuwa ya kudai umeme ukikatika.
Wiki chache tu zilizopita Trump alikuwa na mkutano mkubwa wenye malengo ya 2024. Huyu Mzanzibari hajui siasa za dunia.
Mawazo na mpangilio wa hoja wa Mhe. Mwigulu Nchemba unakosa ladha ya utaalamu wa uchumi. Anajadili issues too theoretical au kama mtu aliyehitimu darasani akahama na skills za darasani kwenda kuongoza.
Kwa nchi hii na rasilimali tulizonazo zinazonufaisha wageni inasikitisha kuona Waziri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.