D Dogo12 Member Oct 5, 2022 45 140 Nov 17, 2023 #1 Habari wanajamvi nilikua nauliza je mtu akiacha kazi utumishi wa umma bila sababu yoyote na kutoa taarifa anastahili kulipwa mafao yake
Habari wanajamvi nilikua nauliza je mtu akiacha kazi utumishi wa umma bila sababu yoyote na kutoa taarifa anastahili kulipwa mafao yake
P Prosperity96 Senior Member Sep 22, 2015 187 178 Nov 28, 2023 #2 una maanisha mafao kama yapi? i.e likizo ya mwaka,pesa au posho ya nuali,kiinua mgongo? au ni mafao gani?
una maanisha mafao kama yapi? i.e likizo ya mwaka,pesa au posho ya nuali,kiinua mgongo? au ni mafao gani?
Elvis Legacy JF-Expert Member Aug 10, 2017 3,396 4,738 Nov 28, 2023 #3 Kuacha kazi ni haki ya mfanyakazi.
P Prosperity96 Senior Member Sep 22, 2015 187 178 Nov 28, 2023 #4 Mega Mind Nyerere said: Kuacha kazi ni haki ya mfanyakazi. Click to expand... hakuna haki bila wajibu,na hakuna wajibu bila haki
Mega Mind Nyerere said: Kuacha kazi ni haki ya mfanyakazi. Click to expand... hakuna haki bila wajibu,na hakuna wajibu bila haki
K11 JF-Expert Member Oct 15, 2014 2,255 7,206 Nov 28, 2023 #5 Ukiacha bila kufuata utaratibu haupati chochote