Mtumishi wa umma aliyerudishwa kazini na Tume ya utumishi wa umma kwa masharti kwamba shauri likaanze upya kwa sababu Mwajiri alikosea utaratibu wa kisheria, akirudishwa anastahili kulipwa mishahara yake kwa kipindi alichokuwa nje ya kazi au hastahili kulipwa?
Naomba msaada hapo.
Naomba msaada hapo.