Habari,
Naomba ushauri kwenye jambo hili ambalo nahisi kuonewa.
Nilikua mtumishi wa umma kwa miaka nane. Nimemtumikia mwajiri wangu kwa miaka nane. Mwaka jana nilipata changamoto nikawa na kesi ya Misconduct, kesi ilichukua muda mrefu kiasi mbaka napewa barua ya uamuzi kuna baadhi ya kanuni za utumishi hazijafuatwa.
Kamati ya nidhamu ilikaa lakini sikupewa mwenendo wala update yoyote takriban miezi mitatu. Nikapewa barua kusoma barua ni ya termination, ikabidi niombe mwenendo wa nidhamu.
Kwenye mwenendo wa kamati ya nidhamu waliamua demotion and salary reduced.Lakini mkurugenzi kaamua termination hajafuata kamati ya nidhamu ilikaa tukahojiana.
Je, alichofanya mkurugenzi ni sawa kisheria?
Kulikua na haja ya kuunda kamati ya nidhamu kama alikua na maamuzi yake binafsi? Kanuni za utumishi wa umma hazijafuatwa,nilikua suspended bila charge sheet,muda wa kutoa maamuzi baada ya kamati ya nidhamu kukaa ulipita siku 30.
Naomba msaada naweza kwenda kulalamika wapi nipo giant na sitaki haki yangu ipotee,kuna uwezeka naweza kuomba kuonana na katibu utumishi.
Naomba ushauri kwenye jambo hili ambalo nahisi kuonewa.
Nilikua mtumishi wa umma kwa miaka nane. Nimemtumikia mwajiri wangu kwa miaka nane. Mwaka jana nilipata changamoto nikawa na kesi ya Misconduct, kesi ilichukua muda mrefu kiasi mbaka napewa barua ya uamuzi kuna baadhi ya kanuni za utumishi hazijafuatwa.
Kamati ya nidhamu ilikaa lakini sikupewa mwenendo wala update yoyote takriban miezi mitatu. Nikapewa barua kusoma barua ni ya termination, ikabidi niombe mwenendo wa nidhamu.
Kwenye mwenendo wa kamati ya nidhamu waliamua demotion and salary reduced.Lakini mkurugenzi kaamua termination hajafuata kamati ya nidhamu ilikaa tukahojiana.
Je, alichofanya mkurugenzi ni sawa kisheria?
Kulikua na haja ya kuunda kamati ya nidhamu kama alikua na maamuzi yake binafsi? Kanuni za utumishi wa umma hazijafuatwa,nilikua suspended bila charge sheet,muda wa kutoa maamuzi baada ya kamati ya nidhamu kukaa ulipita siku 30.
Naomba msaada naweza kwenda kulalamika wapi nipo giant na sitaki haki yangu ipotee,kuna uwezeka naweza kuomba kuonana na katibu utumishi.