bwanashamba
Senior Member
- Mar 29, 2010
- 193
- 3
Maindainda dada yangu ata siku moja usijaribu kusema icho kitu iyo ni siri yako na ufe nayo na kuzikwa nayo
couse watt wa aina iyo wapo wengi sana'sawa uliteleza iyo sikulaumu pamoja na kwamba ulifanya makosa
je una watoto wengine na uyo mume wako wa ndoa?na kama unao elewa kwamba na hao pia atasema
sio wa kwake na mtafaruku huo utakua ni mkubwa ni mno usije ukafikiria ni kiraisi namna iyo unavyofikiria wewe
WANAUME tuangalie vizuri,gafla tunageukaga mbogo aswa katika mauala kama ayo so u have to take care Maindainda
kama umeelewa reply 4 me
couse watt wa aina iyo wapo wengi sana'sawa uliteleza iyo sikulaumu pamoja na kwamba ulifanya makosa
je una watoto wengine na uyo mume wako wa ndoa?na kama unao elewa kwamba na hao pia atasema
sio wa kwake na mtafaruku huo utakua ni mkubwa ni mno usije ukafikiria ni kiraisi namna iyo unavyofikiria wewe
WANAUME tuangalie vizuri,gafla tunageukaga mbogo aswa katika mauala kama ayo so u have to take care Maindainda
kama umeelewa reply 4 me