Kweli hapa kama mwanaume niliyeoa, mke wangu akija na taarifa kama hizi sijui, sijui nitafanya nini?? nitatamani dunia ipasuke inimeze nisionekane na wala kuishi na upuuzi wako. Sitakupenda tena sababu tunda langu ambalo linanifanya niwe unique, tunda ambalo linanifanya nitembee kifua mbele, yaani uwanja wangu wa nyumbani wewe umegawa kwa wengine. Hamu ya tendo la ndoa na wewe litakwisha, maana uwanja tayari utakuwa umevamiwa na magugu maji, nitahisi hamkufanya mara moja tuuu, mliendelea tena na tena kwani mlamba ASALI halambi mara moja. Bado ntahisi una wanaume dizaini hiyo wengi tuu, ntahisi hunijali wala kutambua mchango na uwepo wangu kwako. Nitajiuliza kwa nini uliamua kufunga ndoa na mimi ilhali bado una matamanio ya nje! HASIRA zitazidi kunipanda sitataka kukuona tena mbele ya upeo wa macho yangu wala karibu yangu, nitajiuliza siku zote hizi ulikaa kimya iweje leo unakuja KUNIUA na taarifa hii. Sitaweza kukupiga wala kukutukana ila nitahitaji unujibu maswali yangu kwa ufasaha. 1/ kwa nini ulilala na huyo mwanaume ilhali ukijua wewe ni mwana NDOA? 2/Ulikosa nini kwangu mpaka utoke nje ya NDOA 3/Kama ulishikwa na hamu ya GHAFLA kwa nini hukunipigia simu mie hata km umesafiri ningeweza ongea na wewe nikakupa ushauri wa kufanya na ukaepuka matamanio. baada ya hayo sasa itabaki kichwani mwangu maswali yasiyo na majibu kibao tu. kama aliweza vua nguo akapanda kitandani jamaa akammega kwa ridhaa yake, hatashindwa tena kunisaliti huyu. alilifurahia hilo tendo ndo maana miaka yote hii alikaa kimyaa!! Huyu hana tofauti na muuaji, fikiria (if) jamaa angekuwa na NGOMA, leo hii si ningekuwa na GRIDI ya taifa. Nikiendelea kuishi naye ikitokea kutoelewana tu na mimi ntahisi ataenda kwa yule jamaa yake akampe pumziko, au ntajua jamaa anampa kiburi. Kwa kweli MAISHA yangu yote utakuwa umeyaharibu!! hakutakuwa na raha tena ya MAISHA, NDOA itakuwa NDOANO, na mwisho wetu utakuwa hapo. NI KHERI LAWAMA KULIKO FEDHEHA
MY TAKE
SIKUSHAURI CHOCHOTE- ila kwa mwanaume MKE ni KIDONDA, kwa hiyo jitayarishe kwa lolote hata kulimwa RISASI(SIKUTISHI)