Mimi niliwahi kusikia case kama ya kwako kutoka kwa dada wa Ki Nigeria
Angalia kama ushauri huu aliofanya yy kama utakufaa.
1.Kama una muda na uwezo wa kutafuta solution ya sehemu ya kuishi ya kwako-tayarisha makao mapya kabisa,ukijua kubwa analoweza kukufanyia mumeo ni kukufukuza kama sio to kill you-depending na level ya akili yake.
2.hakikisha uko tayari kwa kila kitu, muite mumeo somewhere umuulize kama ulivyotuuliza sisi kuwa je ingemtokea yeye ingekuwaje
3.Akiishakupa jibu lake ndio utaamua umuambie i.e kusudi ukae nae au uhame kabla ili atakapokuuliza kilichokutoa kwake umuambiekuwa ni jibu alilokupa.
Ukiniuliza mimi ningefanyaje, ningemuita huyo bwana mtia mimba nikamuuliza kama anamtaka mtoto basi amchukue na kama hamtaki basi ninam adopt na wewe nakuchukulia kama % kubwa ya wanawake walivyo, ni wangu nikiwa na wewe. Najua mvutano unaokuwepo mwanamke anapokuwa kwenye kipindi cha kupewa mimba -sio makosa yako kabisa hata asingekuwa huyo mkatili ala bla bla...... , ungeangukia kwa mwingine tu. Angalia kama inaweza kuwa njia ya msaada kwako.
Katabazi.