Mtoto wa nje ya ndoa

Mtoto wa nje ya ndoa

Wahenga walisema kitanda hakizai haramu, hii ni kudhiilisha kuwa tangia zamani walikuwa wanateleza kama ulivyofanya wewe lakini inakuwa siri ya ndani na mara zote uhalali wa mtoto kwa babaye ni mama anayejua.
Kwa misingi hiyo usijaribu kutoa siri hii unless huna tena shida na ndoa yako hii, huyo aliyekupa mimba ni mkware tu na wala hawezi kuwa na sifa za kulea mtoto ambaye mmesha m raise katika maadili na miiko ya upande wababa anaye mlea maintain hivyo hivyo for the sake of your child vinginevyo mtoto ataathirika kisaikolojia na hata akichukuliwa na huyo unaye mpa haki ya u biological father hatakuwa na maisha mema atajihisi kutengwa hata akipewa mapenzi ya namna gani.

Pia usisahau kule nako kuna mke atakayekasirishwa kwa kitendo cha mumewe kuzaa nje hivyo hasira atamalizia kwa mtoto wako!

Forget about those past and continue runnin!
Remember what happened to Ruth during the era of Sodoma and Gomora
 
We uchune tu siku likilipuka ndo utaweka mambo sawa. TENA UKUTE NA MMEO NAYE AKASEMA NA MIMI NINAYE WANGU MTAA WA 2. HAPO NDO NGOMA DROOO
 
Pole kwa mtihani huo mgumu ndugu yangu.
Mimi kwa ushauri wangu fanya yafuatayo;
1:Ulishakuwa unfaithfull kwa mumeo,at lest be Honest now
2:Andaa outing ya mbali kidogo,sehemu tulivu kisha weka mazingira ya kumweleza.
3:Anza kwa kumwambia kuwa unajua utakachomweleza kitamuumiza sana,ila unaomba msamaha wake kwani huna budi kumweleza kwa kuwa bado unampenda sana na hauko tayari kumpoteza) then mweleze
4:Lazima atapanic hata kama hatakuonyesha,wewe usipanic,mwombe msamaha kwa mara nyingine huku ukimwakikishia kuwa hutarudia kamwe.
5:Mpe muda wa kutosha kutafakari maamuzi yake,usimlazimishe akusamehe the same day(issue hii ni nzito sana),mpe muda wa kutosha.
6.Hata akibadilika mwenendo wake ndani ya nyumba,wewe vumilia na uzidi kumwonyesha upendo na mapenzi ya dhati(Itakuwa ni transition period kwake,anaweza akafanya vitu vya ajabu sana,VUMILIA)mpe mwongozo taratibu.
6:Nina hakika after a certain period atakusamehe tu.

NOTE:KATIKA KIPINDI HICHO AMBACHO HAMJAFIKIA MUAFAKA WEWE NA MUMEO,MAKE SURE WATOTO HAWAELEWI KINACHOENDELE,PLEASE.(Watajulishwa when the time is right)

Ni hayo tu kwa leo mwanamke mwenzangu!
 
Wakuu amani iwe juu yenu nimeisoma muda mrefu sana hi tred na huwa nashindwa kushauri kwakuwa huyo mdada aliyo nayo ndo niliyo nayo mimi huwa nachek kilamara kuona alifikia wapi na hii skendo lakini hajaileta janvini kifupi mimi na naona ni bora aendelee kuficha siri kama mimi nilvyo kaukanayo mkewangu amezaa mtoto nje ya ndoaa niligundua hili alipokuwa mjamzito kwakuwa mimi shugulizangu nyingi ni zakusafiri niliondoka nikamuacha akiwa kwenye sikuzake na nilisafiri kwakipindi cha miezi2 njeya nchi niliporudi nikamkuta wenzangu yupo kwenye hali yakuwa mgonjwa mgonjwa na kutpika hakuishi kuwa nikajua huyu mtu tayari kanasa nikamchukuwa hospitali kachekiwa hakuwa na tatizo lolote mganga akashauri apime mkojo inaweza kuwa ni ujauzito kuipima ikawa kweli kabeba mimba. tukaendelea na kulea mimba na mapenzi yetu yalizidi sikuhadi siku lakini akilini najua hii mimba sio yangu nikapiga hesabu zangu lakini nikaona ni bora kungoja matokeo, lakini kila kukicha namuona mwenzangu kama anuchungu fulani hivi na mapenzi yana zidi mpaka anafikia kulia maraninyingi alikuwa anaamka usiku na kukaa ananitiza sura na kunipapasa usoni nikistuka ananiomba msamaha pole mumewangu nimekustua usingizini nikasema ananikumbatia tunalala, nikahisi ni mimba ndo ina mfanya hivyo. ikafika siku ya kujifungua nikampeleka hospitali akazaa slama mama yake na baba yake waka wamefika tumkaa nje pale nesi atuuliza mnataka kumuona mtoto tuwaletee tukasema itakuwa vizuri akaletwa mtoto na my wife akatoka nikapewa mtoto nimbeba mama mkwe akanipoea tulipokuwa tumekaa mkewangu alikua karibu sana nami akaniuliza huyu mtoto yukoyuko vipi. nikamuuliza wewe kwani unamuonaje akajibu simuelewielewi. huku akiwa kanishika mkono nikashindwa kumjibu nikanyamaza na ikafuatia siku ya pili nikamchukuwa home na mpaka leo hii naishi nae na mtoto anmiaka mi2 na nusu huwa nafkiri kumwambia lakini nashindwa kutokana na mapenzi aliyo nayo kwangu na ananiona kama vile ni inosent kila siku mapenzi yake yanazidi kwangu naogopa sijui itamuasiri kiasigani akijua kuwa nafaham kuwa huyo si mtoto wangu imebidi nimezee kama vile sijui na kitoto kizuri maskini nakionea huruma nakipenda sana lakini mpaka leo sijui mkewangu anaumia kiasi gani katika moyo wake huwa hana furaha napokuwa mbalinae, namuonea huruma sana. nilimpenda sana awali lakini mapenzi yalipungua baada ya kugundua alinitenda japokuwa alifanya hivyo lakini bado na mpenda SAMAHANI NIMEINGILIA TRED LAKINI BADALA YA KUANZISHA NIBORA HAPA KWAKUA NI KESI MOJA
 
mama
unachotakiwa ni kukaa kimya na kwa hali yoyote huyo mzinzi mwenzio hata kuja kumfuata mtoto kwani kwa kufanya hivyo hilo ni fumanizi na kama ni mtu anayejiheshimu hawezi ingia kwenye kesi ya Fumanizi.

Siwezi kukulaumu kwani yawezekana ulikuwa na sababu ya kumweleza huyo mwizi kuwa unayomimba yake na hapo ndo tatizo lilipoanzia kwani ni watu wengi sana wanatembea nje ya ndoa wake kwa waume sumu kubwa kwa wake ni kumwambia hawala mimba ni ya kwake.

Hivyo kama unampenda mumeo dont tell him but if u think that guy is better than your man tell him kwani ni wazi atasononeka sana na hamtaishi kama mlivyozoea na kama kulikuwa na furaha itakwisha THINK TWICE BEFORE YOU DECIDE
 
Wakuu amani iwe juu yenu nimeisoma muda mrefu sana hi tred na huwa nashindwa kushauri kwakuwa huyo mdada aliyo nayo ndo niliyo nayo mimi huwa nachek kilamara kuona alifikia wapi na hii skendo lakini hajaileta janvini kifupi mimi na naona ni bora aendelee kuficha siri kama mimi nilvyo kaukanayo mkewangu amezaa mtoto nje ya ndoaa niligundua hili alipokuwa mjamzito kwakuwa mimi shugulizangu nyingi ni zakusafiri niliondoka nikamuacha akiwa kwenye sikuzake na nilisafiri kwakipindi cha miezi2 njeya nchi niliporudi nikamkuta wenzangu yupo kwenye hali yakuwa mgonjwa mgonjwa na kutpika hakuishi kuwa nikajua huyu mtu tayari kanasa nikamchukuwa hospitali kachekiwa hakuwa na tatizo lolote mganga akashauri apime mkojo inaweza kuwa ni ujauzito kuipima ikawa kweli kabeba mimba. tukaendelea na kulea mimba na mapenzi yetu yalizidi sikuhadi siku lakini akilini najua hii mimba sio yangu nikapiga hesabu zangu lakini nikaona ni bora kungoja matokeo, lakini kila kukicha namuona mwenzangu kama anuchungu fulani hivi na mapenzi yana zidi mpaka anafikia kulia maraninyingi alikuwa anaamka usiku na kukaa ananitiza sura na kunipapasa usoni nikistuka ananiomba msamaha pole mumewangu nimekustua usingizini nikasema ananikumbatia tunalala, nikahisi ni mimba ndo ina mfanya hivyo. ikafika siku ya kujifungua nikampeleka hospitali akazaa slama mama yake na baba yake waka wamefika tumkaa nje pale nesi atuuliza mnataka kumuona mtoto tuwaletee tukasema itakuwa vizuri akaletwa mtoto na my wife akatoka nikapewa mtoto nimbeba mama mkwe akanipoea tulipokuwa tumekaa mkewangu alikua karibu sana nami akaniuliza huyu mtoto yukoyuko vipi. nikamuuliza wewe kwani unamuonaje akajibu simuelewielewi. huku akiwa kanishika mkono nikashindwa kumjibu nikanyamaza na ikafuatia siku ya pili nikamchukuwa home na mpaka leo hii naishi nae na mtoto anmiaka mi2 na nusu huwa nafkiri kumwambia lakini nashindwa kutokana na mapenzi aliyo nayo kwangu na ananiona kama vile ni inosent kila siku mapenzi yake yanazidi kwangu naogopa sijui itamuasiri kiasigani akijua kuwa nafaham kuwa huyo si mtoto wangu imebidi nimezee kama vile sijui na kitoto kizuri maskini nakionea huruma nakipenda sana lakini mpaka leo sijui mkewangu anaumia kiasi gani katika moyo wake huwa hana furaha napokuwa mbalinae, namuonea huruma sana. nilimpenda sana awali lakini mapenzi yalipungua baada ya kugundua alinitenda japokuwa alifanya hivyo lakini bado na mpenda SAMAHANI NIMEINGILIA TRED LAKINI BADALA YA KUANZISHA NIBORA HAPA KWAKUA NI KESI MOJA

Dah...........pole sana ndugu.....................ILA Huoni kuwa ukimweleza kwa upole na upendo utamsaidia kumtua mzigo wa msongo wa mawazo alionao.Ukimya wako unampanish ile mbaya.Mi nakushauri mwambie ILA usipunguze upendo kwake,ikiwezekana uzidishe.
 
mama
unachotakiwa ni kukaa kimya na kwa hali yoyote huyo mzinzi mwenzio hata kuja kumfuata mtoto kwani kwa kufanya hivyo hilo ni fumanizi na kama ni mtu anayejiheshimu hawezi ingia kwenye kesi ya Fumanizi.

Siwezi kukulaumu kwani yawezekana ulikuwa na sababu ya kumweleza huyo mwizi kuwa unayomimba yake na hapo ndo tatizo lilipoanzia kwani ni watu wengi sana wanatembea nje ya ndoa wake kwa waume sumu kubwa kwa wake ni kumwambia hawala mimba ni ya kwake.

Hivyo kama unampenda mumeo dont tell him but if u think that guy is better than your man tell him kwani ni wazi atasononeka sana na hamtaishi kama mlivyozoea na kama kulikuwa na furaha itakwisha THINK TWICE BEFORE YOU DECIDE

Hivi mnajua dunia ni kijiji?Ipo siku isiyojina atakuja kufahamu,mbaya zaidi toka kwa mtu wa nje.You know what will happen
1:Atahisi walikuwa bado wanaendelea ndio mana akaendelea kuficha
2:Atajiuliza watu wangapi walijua/wameshajua (na kumchora)mpaka linamfikia yeye kwa wakati huo.Kama maamuzi yake yatakuwa kuvunja ndoa akiambiwa sasa,hata atakapojua baadae atavunja tu
 
Yaani ni wazi kwa Tabia ya wanaume wengi habari hiyo ikimfikia ndoa hakuna. Bora kukaa kimya kama waitaka ndoa yako otherwise kupanga ni kuchagua kupoteza mume.
 
A mistake has already been done...and your feelings demonstrate that you are affected by your own deeds; and let it torment you and you alone for the rest of your life AND you should NEVER reveal that secret for you will cause unneccessary physical and psychological pains to THE KID and your husband. AND the damage wil be unrepairable and may lead to divorce. But repent silently... and mind you not every truth liberates. What do you expect the kid to react when you spill the truth...do you expect him to be the same? This will Save both your kid and your marriage.
 
A mistake has already been done...and your feelings demonstrate that you are affected by your own deeds; and let it torment you and you alone for the rest of your life AND you should NEVER reveal that secret for you will cause unneccessary physical and psychological pains to THE KID and your husband. AND the damage wil be unrepairable and may lead to divorce. But repent silently... and mind you not every truth liberates. What do you expect the kid to react when you spill the truth...do you expect him to be the same? This will Save both your kid and your marriage.

Unatubu vipi kwa Mungu wako kabla hujaomba msamaha kwa uliyemkosea?
 
Hakuna mtoto wa nje ya ndoa, watoto wote ni sawa and they deserve same treatment. Huwezi jua!
 
Hakuna mtoto wa nje ya ndoa, watoto wote ni sawa and they deserve same treatment. Huwezi jua!

We una wangapi?????????Umetoka usingizi Gagurito eeeh?
Kuhusu treatment halina tatizo,wote ni watoto wana haki sawa.Issue ni namna ya kumweleza mwenza kwamba una mtoto ambaye si wake???????
 
Mkuu natamani sana kumwambia lakini kinasho nitia hof ni upendo wake marakwamara huwa ananiamibia hawezi kuishi bila mimi na kamaikitokea kitu kitakasho sababisha kuwa na utata basi hatakuwa tayari kuona matokeo atakufa hapo mazee ni mtihani. kunamtukujiua
Dah...........pole sana ndugu.....................ILA Huoni kuwa ukimweleza kwa upole na upendo utamsaidia kumtua mzigo wa msongo wa mawazo alionao.Ukimya wako unampanish ile mbaya.Mi nakushauri mwambie ILA usipunguze upendo kwake,ikiwezekana uzidishe.
 
best usije jaribu kumwambia hata siku moja. Na wala usije mwambia ndugu au rafiki wako wa karibu hata siku moja. Reaction yake hutoweza itabiri. Kuna yeye kuamua hata kujitoa roho na au kukutoa roho wewe na hata wote hapo nyumbani. Kama ulivyotunza siri wakati unakula uroda na huyo mbaba mwingine pia kwa hili fanya hivyo. Ila kama umechoka ndoa mwambie au kama unamdrive then mwambie. Maana tusije shauri ili hali hatufahamu mnaishije. Pole but hiyo kauka nayo ndugu yangu.
 
pole cna bt unajua ujachelewa cse unajua kama kwl haupo hyo n tabia yako ni nzuri i mean uaminifu,, mwambie ujnajua kwnye ukwli uongo unajiweka pembeni its bttr umwambie cse akija kugundua mwenywe itakuwa tabnu sana ,,, jikaze cyo rahisi bt just do it 4 da sick of luv
 
nyumba kubwaHivi ni kwa nini mwanaume wa kiafrika akizaa nje ya ndoa inakuwa poa na wala si shida kwake kumpitisha mwanae kwa nduguze kujigamba kuwa amezaa, lakini kwa mwanamke inakuwa kama muuaji?

Mimi nadhani na wanaume muanze kufikiria jinsi wake zenu wanavyoumia mnapowaambia mmezaa nje! They (we) are also human being. Kutembea nje ya ndoa ni one thing lakini ukifikia kuwa na mtoto kwa kweli the pain does not end since the baby keeps reminding of the act (though the poor kids are innocent).

Nadhani hata wazazi wako na ndugu wanaweza kukutenga wakijua umezaa nje ya ndoa kama ni mwanamke ila mwanaume utasikia wanakwambia kamchukue mwanao.

Na hii inanifanya nione huyu mwanaume alozaa na mtoa maada kuwa yuko serious kwa kuwa kwake yeye kumchukua mtoto wala si kazi ni kiasi cha kumwambia mkewe nina mtoto bila hata kuwaza mara mbili kama ufanyavyo wewe mdau. And the woman will stay. But for you m friend; jua wazi ukimwambia mumeo umezini tu hata kama hukuzaa nje kuna uwezekano mkubwa sana wa kupigwa talaka na hakuna wa kukuombea msamaha kwani jamii yote haitakuelewa!

Hence you need to choose either to end your marriage by telling the truth or keep the secrecy for the sake of your family's happiness. Nakwambia hiyo itawa affect hata wanao ambao ni wa kwenye ndoa. They also may be required to take DNA test.

Na hii scandle itamfuata mwanao maisha yake yote. Kuna Prof namjua kila mtu anajua kuwa mama yake alimzaa nje na baba akampa talaka. Kilichomfanya mama ajulikane mtoto alikuwa mwarabu wakati wazazi ni black. SO there was no need of DNA and by then there was no such a thing in TZ.


Nyumba kubwa, kwani kwa Wazungu ni powa tu mke kuzalishwa nje na njemba nyingine wanaume hawapigi makelele? Inauma kwa wote ila kwa wanaume kwa jinsi tulivyoumbwa unaona uanaume wako umedharilishwa ndo maana unaona wengine wanaapa kumtowa mtu roho kama akijuwa tunda lake limemegwa.
 
Dada, mimi ni mtu mzima, na pengine wewe ni sawa na watoto wangu. Ushauri wangu ambao unatokana na miaka mingi ya 'marriage concelling' ni huu: BE HONEST TO YOURSELF. JARIBU KUWA MKWELI SIKU ZOTE ZA MAISHA YAKO. UKWELI NDIO UTAKAOKUWEKA HURU WEWE, MMEO, HAWARA NA MTOTO. Sasa hivi wewe unaweza kufikiri hiyo ni shida yako tu, lakini ukiangalia vizuri, ni shida kwenu nyote wanne na kila mmoja wenu hiyo shida inamtafuna ki-vyake na mwisho wa siku, hutaweza kuifanya siri kama ninavyoona unashauriwa na baadhi yetu tuliochangia ushauri hapa. itafumuka tu...utake usitake. Kama hutatamka wewe kwa maneno yako, vitendo vyako vitaashiria hicho kitu na mmeo atajua kama yuko makini. Ukitaka kujua hiyo siri hutaiweka milele, angalia vizuri attitude ya mmeo kwa huyo mtoto na baadhi ya maneno ambayo wewe unadhani mmeo anaropoka! Angalia sana attitude ya mtoto...hasa body language yake akiwa na mmeo. Ukiwa makini you will see all the script on the wall! Anyway, kwa kifupi, DO NOT BE AFRAID...TRUST YOUR HUSBAND COMPLETELY AND TELL HIM THE TRUTH. You will not regret! All the best.
 
Back
Top Bottom