KWANZA MAINDAINDA FAHAMU WEWE SI WA KWANZA.Pole bibie,
Ninafurahi unajijua mkosaji ila ushauri mmoja ninao ni hivi:
"Only the TRUTH can set you FREE"
mara nyingi wanaume na wanawake husaliti ndoa zao na kujifanya jeuri huku wakitaka ndoa zao zidumu au hata kulazimisha kuwa ndoa zao zidumu kwa vitisho na vipigo. Na mara nyingi njia hizi hazisaidii hata siku moja. Na wengi husahau kuwa katika kuwa mkweli na muwazi, msamaha wa kweli hutokea na pendo kuchipukia upya.
"Every person is humbled by the Truth"
Siwezi semea mumeo maana simfahamu kitabia wala mwenendo na wala siwezi kukusemea wewe maana kitabia sikujui. Ila jifunze kuwa mkweli. Ukweli hulipa siku zote hata kama atachukia sana ataheshimu kuwa ulimwambia ukweli na wala hukumdanganya. Umweleze kuanzia mwanzo ilivyokuwa na wala usifiche jambo lolote.
ukianza kuwa slective katika yale utakayomweleza basi ujue hata msamaha wa kweli hautapatikana.
Pole ila na hili liwe fundisho kwa wanawake wengine na wanaume wengine.
Hivi wahenga walikuwa na maana gani walipoanzisha ule msemo wa kitanda hakizai haramu? hii ya maindainda haiwi covered hapa?
Kitanda kimezaaa haramu hapo Sinza jmosi mwanaume kashtukia analea mtoto wa Mpemba na anamiaka 4 sasa mtoto huyo.Jamaa kajua mimba yake kumbe kuna mwanaume mwenzie amemzidi kite kwa hiyo kitanda cha huyu jamaa kimezaa haramu.
mh! Fidel naomba unisaidie kaka yangu
Nini maana halisi ya msemo huo wa kitanda hakizai haramu?
Lakini Fidel huu msemo huwa wanambiwaga wale ambao wamesingiziwa watoto kwa maana ya kuwafanya wakubali tu kuwa ni wao kwa vile wako ndoani au huwa siuelewagi vizuri mimi?
Kwa uliyoeleza hapo juu sheikh nashawishika zaidi kusema kuwa Wanawake ndiyo WANAFANYA DUNIA IZUNGUKE.Pole dada, Mimi binafsi nina jambo linalofanana na lako,miaka sita iliyopita nilikuwa na uhusiano na dada mmoja ambaye kwa wakati ule alikuwa na mchumba wake, ambaye walikuwa wakiishi sehemu tofauti tofauti,kazi ya huyu dada ilikuwa inamfanya awe asafiri mara kwa mara na hivyo kuwa anakutana na mwenza wake .Lakini katika mahusiano yetu huyu dada alipata uja uzito,kilichotokea ni kwamba alikuwa ajasafiri katika kipindi cha miezi mitatu hivi, hiyo ilifanya ajue wazi muhusika ni nani, na wakati huo maandalizi ya Ndoa yao yalikuwa yamekamilika.Baada ya miezi minne wakafunga ndoa wakati yule dada akiwa mja mzito,tulipojadiliano juu ya huo huja uzito alikubali kutotoa ,lolote na liwe.Kweli akajifungua mtoto wa kiume copyright na baba mimi,na akawa anataka niendelee kuwa baba wa mtoto wakati yeye ni mke wa mtu?Nilikataa katakata.
Na jambo baya zaidi nilipoamia kwenye makazi yangu mapya nikagundua kuwa tunaishi wote mtaa mmoja kwa tofauti ya nyumba kama 10 hivi.
Nime-avoid sana mawasiliano naye.Japo yeye analazimisha.Sipendi mke wangu ajue wala mume wake.
Hivyo kumueleza au kutomueleza mume wako kunategemeana na jinsi yeye alivyo kitabia, kama high tempered utalimwa talaka ya haraka.Kumueleza kunategemeana na tabia ya mtu.kumueleza kutamfanya akose imani kwako.
Najaribu kufikiria kuwa huyo Mama kaolewa, na mtoto si wa Mume wake, na bado kakuganda na anataka uendelee kuwa baba wa mtoto.Pole dada, Mimi binafsi nina jambo linalofanana na lako,miaka sita iliyopita nilikuwa na uhusiano na dada mmoja ambaye kwa wakati ule alikuwa na mchumba wake, ambaye walikuwa wakiishi sehemu tofauti tofauti,kazi ya huyu dada ilikuwa inamfanya awe asafiri mara kwa mara na hivyo kuwa anakutana na mwenza wake .Lakini katika mahusiano yetu huyu dada alipata uja uzito,kilichotokea ni kwamba alikuwa ajasafiri katika kipindi cha miezi mitatu hivi, hiyo ilifanya ajue wazi muhusika ni nani, na wakati huo maandalizi ya Ndoa yao yalikuwa yamekamilika.Baada ya miezi minne wakafunga ndoa wakati yule dada akiwa mja mzito,tulipojadiliano juu ya huo huja uzito alikubali kutotoa ,lolote na liwe.Kweli akajifungua mtoto wa kiume copyright na baba mimi,na akawa anataka niendelee kuwa baba wa mtoto wakati yeye ni mke wa mtu?Nilikataa katakata.
Na jambo baya zaidi nilipoamia kwenye makazi yangu mapya nikagundua kuwa tunaishi wote mtaa mmoja kwa tofauti ya nyumba kama 10 hivi.
Nime-avoid sana mawasiliano naye.Japo yeye analazimisha.Sipendi mke wangu ajue wala mume wake.
Hivyo kumueleza au kutomueleza mume wako kunategemeana na jinsi yeye alivyo kitabia, kama high tempered utalimwa talaka ya haraka.Kumueleza kunategemeana na tabia ya mtu.kumueleza kutamfanya akose imani kwako.
Kwa uliyoeleza hapo juu sheikh nashawishika zaidi kusema kuwa Wanawake ndiyo WANAFANYA DUNIA IZUNGUKE.
MUNGU wangu!!!!?????!!!!!
MkuuNa ndiyo wanaotuzungusha, mkuu.
Kama ni mimi ungeweza kuniambia .... Isingekuwa ni big deal.
I am different charater on this palnet.
Ungekuwa na maswali machache tu ya kunijibu ili kutegeneza hii issue.
Ni uwuzi, tena uwazi kabisa kabisa..ungekuokoa...But dont do this to ua husband...maana mimi naye inawezekana tunatofautiana sana.
Lakini kwanza ..tell me all this very HONESTLY...hata kama ukisikia kufa...Just tell it as it was....Jibu kama mimi ni mume wako!
Was you forced into the act?
What really drove you to that ..Chap?
Ulikuwa fully aware when you went with him?
Unafikiri mimi ningetakiwa nifanye nini ... ili usiende naye ..hapa nina maana there was ..weakness in my part ndio maana..ukapata hiyo nafasi.
Na
Kabala sijaendelea..?
Ilikuwaje Baba wa mtoto akajua kuwa una mtoto naye?
Did you tell him?
Why?
Ulivyomuabia ..didi you fill Highhh..yaani ulikuwa unajisikai vizuri..yaani kama umemkomesha mumeo .....kitu kama hicho..just be very frankly...
Let me get all this answers before you get my advice...!
I am sure all will be very fine..if this is true..story..!