promethus
JF-Expert Member
- Feb 22, 2016
- 1,274
- 2,174
KafanyejeNaona Micah Chavala keshaingia kwenye 18 za Mafwele. Subiri tuone kama atampoteza...
KafanyejeNaona Micah Chavala keshaingia kwenye 18 za Mafwele. Subiri tuone kama atampoteza...
Hapo kabla mafwele alikua muongeaji,akionekana media!?.. yaani hivyo vianaharakati kwa kuzua havijambo,na minyumbu inaamini tyHii stori hata mimi niliisikia baada ya mtandao kurejea kile kipindi cha maandamano.
Aliyenambia alikuwa ni mfanyakazi wa ofisi binafsi ambayo inamilikiwa na mwanajeshi mwenye cheo cha juu.
Alipenyezewa hizo taarifa ila sikuziamini kwa asilimia zote kwa jinsi namna huyo mtu anavyoogopwa na hadi wakuu wake sikuona kama itakuwa ni real.
Maana kile kipande kina roho ngumu waweza sema Sisu, watu wanakihofia hadi maboss zake sikuweza kuamini moja kwa moja ila kwa huu ukimya wake tangu maandamano yafanyike maybe inawezekana.
JWTZMkuu hapo 👆 jeshi linamshikilia ni police au JWTZ.
Maana kiswahili kina misamiati michache
Naye mwenye mamlaka anaogopa repercussions za wajeda! Lazima awe macho sana, short of that watampinduaHizo ni futuhi, mwnye mamlaka hawezi kubembeleza, anatoa order tu, usipotii urudi kijijini kwenu ukalime
Wamkabidhi the haugue kabisa asaidie kutaja wenzake na kujua walipo mateka.Mtu fulani ambaye Sativa ànamuhusisha na utekaji wake, bado anashikiliwa na Jeshi ndio maana wanaotekwa/kukamatwa siku hizi wanapatikana vituo vya Police.
Who are you anaforce aachiwe Jeshi limegoma.
Wanataka kujua nani alikuwa anamtuma kuteka watu jambo Jeshi linaamini utekaji ndio umefikisha nchi kwenye machafuko
View attachment 3516393
Yale Yale ya kuaminishana jeshi liko upande wa wananchi. Siyo kila kinachopostiwa twitter unakichukua kama kilivyo. Yaani jeshi hili ligomee amri ya cinc?Mtu fulani ambaye Sativa ànamuhusisha na utekaji wake, bado anashikiliwa na Jeshi ndio maana wanaotekwa/kukamatwa siku hizi wanapatikana vituo vya Police.
Who are you anaforce aachiwe Jeshi limegoma.
Wanataka kujua nani alikuwa anamtuma kuteka watu jambo Jeshi linaamini utekaji ndio umefikisha nchi kwenye machafuko
View attachment 3516393
Kafanyeje
Katika hali ya kawaida uko sahihi! Katika hali kama ya 29, lolote linawezekanaHii siwezi kuamini.
Kufanya hivyo ni nusu ya kufanya utawala wa kijeshi.
Kwa sheria zetu jeshi la wananchi hawawezi kumkamata na kumhoji askari polisi kwa makosa ya jinai.
Hata mama mwenyewe anawaogopa hao watu anajua ndo wameshikiloa hatma yakeKwasasa nchii hii ukimtoa Abdul na Mama ake anayefuata kwa nguvu ni Mafwele,akiongea tu vyombo vyote vinatikisika.
Siku ya uchaguzi nilikua NAPIGA misele mahala nika kutana nao kama sita hivi wanatembea NILICHO gundua, wengi Sasa hivi ni watoto, hawana afya unaweza beba ukatupa KULE, kilicho Baki ni jezi TU ndo inawalonda ila bila jezi kama humjui unapiga haswaHiyo migambo haina jeuri ya kumkamta Mafwele wao waendelee kupiga raia wanaovaa nguo zinazofanana na zao basi.
Naskia operation za jamaa zina usiri mkubwa na sio polisi wote wana access na info za operations zake hata wale wa high level naskia nao wako limited.Contradiction ya hio taarifa Iko hivi.
1. Mekaji amedakwa
2. Ndio maana wanaotekwa wanapatikana polisi.
Swali
Inawezekanaje mtekaji yupo mbaroni halafu aendeshe operation ya kuteka na watekaji wapatikane huko huko mbaroni?
3. Ina maana hapa jf nzima hakuna anaye fanya kazi karibu na mafwele ambaye anaweza kupenyeza taarifa za uhakika yaani JF nzima? Hata kama hayuko karibu na mafwele basi awe anafanya kazi kituo anakofanyia kazi mafwele. HAYUPO KABISA?
Mkuu pamoja upo JF huelewi mtu akisema jeshi ,tunajeshi moja tu lenye uwezo wa kukamata watu aina ya mafwele labda kukusaidia amemanisha jeshi linalotoa mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa Nchi(taifa)Mkuu hapo 👆 jeshi linamshikilia ni police au JWTZ.
Maana kiswahili kina misamiati michache
Stori Za kurudisha Imani ya Raia Kwa Dola ,Hawa jamaa ni wajinga sana humu ndani.
Yani kwa katiba yetu hii ambayo Rais kapewa nguvu iliyopitiliza ammbembeleze aliyemteua (JJ Mkunda) tena chawa kabisa. Wangekuwa washatemeshwa kama Sirro
Huu Ni ukweli 100% mange aliwai kulipoti jeshi linashikilia watu
Kwahiyo walinzi wa Samia wote hakuna wanajeshi !?We ndo hujui kabisa, hivi hukuona kwenye lile sekeseke la Cpt Tesha ilifikia hatua hadi hatua yule ADC wa Samia alikataliwa na Usalama kutembea pamoja na Samia kwa sababu ya kutooaminika
Samia anaowaogopa ni Usalama sababu wapo nae mda wote
NduguMtu fulani ambaye Sativa ànamuhusisha na utekaji wake, bado anashikiliwa na Jeshi ndio maana wanaotekwa/kukamatwa siku hizi wanapatikana vituo vya Police.
Who are you anaforce aachiwe Jeshi limegoma.
Wanataka kujua nani alikuwa anamtuma kuteka watu jambo Jeshi linaamini utekaji ndio umefikisha nchi kwenye machafuko
View attachment 3516393
Siwaamini off course, ila unàeza pata hint from people's commentsNdugu
Usiamini hayamaparody
MkuuSiwaamini off course, ila unàeza pata hint from people's comments
Kwanini mkuu..??Nimelog in kwasababu ya comment hii, nipo Bogota, Columbia