Tetesi: Mtekaji wa Sativa inadaiwa yuko chini ya ulinzi

Tetesi: Mtekaji wa Sativa inadaiwa yuko chini ya ulinzi

Mtu fulani ambaye Sativa ànamuhusisha na utekaji wake, bado anashikiliwa na Jeshi ndio maana wanaotekwa/kukamatwa siku hizi wanapatikana vituo vya Police.

Who are you anaforce aachiwe Jeshi limegoma.

Wanataka kujua nani alikuwa anamtuma kuteka watu jambo Jeshi linaamini utekaji ndio umefikisha nchi kwenye machafuko

View attachment 3516393
unaakili za kitoto yaan amiri jeshi aseme aachiwe afu (kajeshi kagome kwel ? ) umefikiria vizur ww kwel?? story ya kutunga hii.
 
Mkuu pamoja upo JF huelewi mtu akisema jeshi ,tunajeshi moja tu lenye uwezo wa kukamata watu aina ya mafwele labda kukusaidia amemanisha jeshi linalotoa mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa Nchi(taifa)
Mkuu hizi post za mitandaoni sio za kuzichukulia poa ndio maana tunataka Uhakiki
 
unaakili za kitoto yaan amiri jeshi aseme aachiwe afu (kajeshi kagome kwel ? ) umefikiria vizur ww kwel?? story ya kutunga hii.
Muulize mama yako kama nina akili za kitoto atakwamnia ukweli wa wewe ulivyopatikana
 
NAchofahamu kama D9 ingekua kama O29 basi 80% Saa hizi Kamanda Mkunda ndo angekua Mc wa Taifa....

Ingawa Maandalizi yao ya D9 na nmna ilivyokua D9 sikuona mlingano ila pia ilikua ni kama taarifa, busara ya kijeshi na ulinzi wa raia.

D9 Ilikua imekaa vibaya sana.

Polisi na wauwaji walikua wamejiandaa.

Wananchi nao walikua wamejiandaa.

JWTZ wasinge ingilia kati, Kuzuia any activities basi hali ingekua mbaya kwa wananchi, Wauaji na CCM
 
Mtu fulani ambaye Sativa ànamuhusisha na utekaji wake, bado anashikiliwa na Jeshi ndio maana wanaotekwa/kukamatwa siku hizi wanapatikana vituo vya Police.

Who are you anaforce aachiwe Jeshi limegoma.

Wanataka kujua nani alikuwa anamtuma kuteka watu jambo Jeshi linaamini utekaji ndio umefikisha nchi kwenye machafuko

View attachment 3516393
porojo ni kazi rahisi halafu ya kijinga sana aise, dah:pedroP:
 
Mtu fulani ambaye Sativa ànamuhusisha na utekaji wake, bado anashikiliwa na Jeshi ndio maana wanaotekwa/kukamatwa siku hizi wanapatikana vituo vya Police.

Who are you anaforce aachiwe Jeshi limegoma.

Wanataka kujua nani alikuwa anamtuma kuteka watu jambo Jeshi linaamini utekaji ndio umefikisha nchi kwenye machafuko

View attachment 3516393
Yupo chini ya ulinzi anafirwa tu kwa zamu sijui kama anaweza kutembea kwa sasa
 
Hii stori hata mimi niliisikia baada ya mtandao kurejea kile kipindi cha maandamano.

Aliyenambia alikuwa ni mfanyakazi wa ofisi binafsi ambayo inamilikiwa na mwanajeshi mwenye cheo cha juu.

Alipenyezewa hizo taarifa ila sikuziamini kwa asilimia zote kwa jinsi namna huyo mtu anavyoogopwa na hadi wakuu wake sikuona kama itakuwa ni real.

Maana kile kipande kina roho ngumu waweza sema Sisu, watu wanakihofia hadi maboss zake sikuweza kuamini moja kwa moja ila kwa huu ukimya wake tangu maandamano yafanyike maybe inawezekana.
Kwani nyie mnaokaa kwenye jiji hilo lenye idadi ya watu karibu mara sita ya kanchi ka Zenji, si mfike pale Osterbay police iliko ofisi yake ya kutesea watu mhakiki hii taarifa kama ni ukweli au vinginevyo

Mafwele na Muliro ni polisi maadui namba moja wa Watanganyika. Ni kweli baada ya 29/10 midomo yao imefupika, hawamwagi mwagi hovyo zile shobo zao.
 
Hili jeshi la jwtz ni kuonea raia wake tu, wamejichanganya anga zao hawana lolote jingine!!
 
Mtu fulani ambaye Sativa ànamuhusisha na utekaji wake, bado anashikiliwa na Jeshi ndio maana wanaotekwa/kukamatwa siku hizi wanapatikana vituo vya Police.

Who are you anaforce aachiwe Jeshi limegoma.

Wanataka kujua nani alikuwa anamtuma kuteka watu jambo Jeshi linaamini utekaji ndio umefikisha nchi kwenye machafuko
Mnatapatapa. Mnatapika. Kweli mpaka leo hii mnakuja na story za Alinacha. Mama kawaingiza choo cha kike, mnatafuta mlango wa kutokea na hauuoni. :FLUSH: :FLUSH::FLUSH:
FAKE NEWS.
 
Back
Top Bottom