Tetesi: Mtekaji wa Sativa inadaiwa yuko chini ya ulinzi

Tetesi: Mtekaji wa Sativa inadaiwa yuko chini ya ulinzi

1)Wanataka kujua Nani alikuwa anamtuma

2) Samia anaforce mafwele aachiwe

Hii script inatakiwa ikaeditiwe kwenye mstari wa pili, ili isipoteze nguvu ya mstari wa Kwanza,
Hawa jamaa ni wajinga sana humu ndani.

Yani kwa katiba yetu hii ambayo Rais kapewa nguvu iliyopitiliza ammbembeleze aliyemteua (JJ Mkunda) tena chawa kabisa. Wangekuwa washatemeshwa kama Sirro
 
Siyo nyakati hizi. Kwa wakati huu yule bibi muuaji anaishi kinyonge sana Anatii maelekezo yote toka JWTZ. Anajua kabisa kuwa bila ya JWTZ, anaweza kydakwa na yeyote wakati wowote
We ndo hujui kabisa, hivi hukuona kwenye lile sekeseke la Cpt Tesha ilifikia hatua hadi hatua yule ADC wa Samia alikataliwa na Usalama kutembea pamoja na Samia kwa sababu ya kutooaminika

Samia anaowaogopa ni Usalama sababu wapo nae mda wote
 
Kwa namna taarifa ilivyo, haiwezi kuaminika hata chembe japo ingekuwa ni ya kweli nchi ingekuwa imekaribia nusu ya ukombozi
 
SIo TU kumkamata mafwele hata kukohoa hawana huo ubvu, ukishikwa na mwanajeshi yeyote AKATAKA kukupiga we mwambie TU mi ni mtoto wa kamanda mafwele, mbio atakazo Toka kasongo akasomeee
Kwa Mafwele mbali wewe mwambie ni mtoto wa mkuu wa kituo cha polisi.
 
Hizi tetesi za Mafwele kuwa kizuizini zinaletwa na UVCCM wakiongozwa na Kenan. Sasa iko hivi, askari wa JWTZ ni waoga kuliko mgambo wa jiji hivyo nawao kwasasa wanapokea maelekezo toka kwa polisi na si vinginevyo.

Mafwele yupo na soon ataendelea na kazi yake.

Asanteni.


Naona Micah Chavala keshaingia kwenye 18 za Mafwele. Subiri tuone kama atampoteza...
 
Mafwele hakamatiki , Ile ni shoti ya umeme..Hawa wanajeshi mdebwedo hakuna mwenye uwezo wakumkamata king Mafwele the butcher
Nyie mdanganyeni baba wa watu, kila mtu yuko dispensable...watu wanaweza tembea naye vizuri tu
 
😀😀 wanajeshi mdebwedo

Mimi natamani haya mabumunda mabakabaka yashughulishwe kidogo tu na M23 waweze kujitambua, maana huu uvaaji wa share bila kushughulishwa wanawaza kuibia watanzania kwa kuongeza bei za mahitaji yao kwenye tender ili kufanikisha ununuzi wa Rolls Royce na G. Wagon

Jeshini kina Capt. Tesha wapo wengi basi tu hawajawezeshwa, ila siku FORD FOUNDATION wakiwawezesha mbona kitawaka sana
 
Binya kende za huyo mbusi kenge de mafwele mpaka zipasuke kisha mnatia pilipili, chumvi, jivu, petrol, conc H2SO4 na maji ya mkonge.

Huyo ilipaswa wanipe mimi nimtese kijadijadi kabla sijamfilimba na kumchinjilia mbali.
Nimelog in kwasababu ya comment hii, nipo Bogota, Columbia
 
Back
Top Bottom