Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 33,792
- 40,579
Stori za ghahawaniMtu fulani ambaye Sativa ànamuhusisha na utekaji wake, bado anashikiriwa na Jeshi ndio maana wanaotekwa/kukamatwa siku hizi wanapatikana vituo vya Police.
Who are you anaforce aachiwe Jeshi limegoma.
Wanataka kujua nani alikuwa anamtuma kuteka watu jambo Jeshi linaamini utekaji ndio umefikisha nchi kwenye machafuko
View attachment 3516393
Hao lao moja