Tetesi: Mtekaji wa Sativa inadaiwa yuko chini ya ulinzi

Tetesi: Mtekaji wa Sativa inadaiwa yuko chini ya ulinzi

NAchofahamu kama D9 ingekua kama O29 basi 80% Saa hizi Kamanda Mkunda ndo angekua Mc wa Taifa....

Ingawa Maandalizi yao ya D9 na nmna ilivyokua D9 sikuona mlingano ila pia ilikua ni kama taarifa, busara ya kijeshi na ulinzi wa raia.
 
Jana kwenye kijiwe chetu cha kidigitali akaja mtabe mmoja na kuanza kufunguka.

Anasema za chini ya kapeti jamaa wa kaki anayeogopwa nchi nzima ameyakanyaga na sasa anashikiliwa na Mabakabaka.

sijajua ukweli upoje ila nimeisikia tena habari hii kule twitter.
 
Jana kwenye kijiwe chetu cha kidigitali akaja mtabe mmoja na kuanza kufunguka.

Anasema za chini ya kapeti jamaa wa kaki anayeogopwa nchi nzima ameyakanyaga na sasa anashikiliwa na Mabakabaka.

sijajua ukweli upoje ila nimeisikia tena habari hii kule twitter.
SI kweli yule anabaraka kutoka juu kabisa..
Hata hao mabakamabaka ameshawanyoosha na bado anawaoonyoosha wengi sana..
Rudia Ile speech yake akiwa na mkuu wa Mkoa pamoja na maafisa mbalimbali wa polisi wenzake
 
Na akilopoka kwamba Yale maagizo ya Teka ua yanatoka kwenye kiti kikuu au kwa yule kijana wake,then mvurugano unaanza!

Na nijuavyo kwamba kale katoto Jake ka kiume ndio kila kitu kwake ,kakiliwa kichwa ye mwenyewe kiti kitamshinda kabisa kukikalia kwa msongo wa mawazo first grade!

Nawaza!

Pia tetesi za namba mbili kuwekewa chuma kichwani kulazimishwa ateme bungo yaani unamba mbili!aiseh sijui Hali ikoje huko jikoni!

Lakini hukukwetu kitaa Hali safi TU coz ugali na kachumbari vinalika mbona!!?na vinyama vinne vya kuchoma plus Kilimanjaro baridi!!
 
Haiwezekani , hilo jambazi kwa cheo na oparesheni za kikatili alizofanya na siri alizobeba njia pekee ya kumzima ni kumuua tu.

Yale magenge ya wale wauaji wenye kofia nyeusi na rasta na gari zenye number plate bandia na zisizo na namba ziko chini chini yake.

Huyu jambazi anajua walichomfanya Polepole na walimalizaje.

Hivyo njia pekee ya kudeal nae ni kumuua tu wala sio kumshikilia.
 
Swali la tatu.

Waziri wa zamani aitwaye mwambe alidakwa na wanasema alishiriki mitandaoni kwenye swala la 29 oktoba. Swali linakuja
Ikiwa watu wanatumia fake ID including hapa JF doria imefanyikaje kumbaini kuwa ni yeye? Na kama amebainika kirahisi hivyo,, hapa jf wangapi wapo hatarini? KUMBUKA HIYO NI EX MINISTER NA NNAAMINI ALIKUWA EXTRA CAREFUL
cc britanicca
 
Mtu fulani ambaye Sativa ànamuhusisha na utekaji wake, bado anashikiliwa na Jeshi ndio maana wanaotekwa/kukamatwa siku hizi wanapatikana vituo vya Police.

Who are you anaforce aachiwe Jeshi limegoma.

Wanataka kujua nani alikuwa anamtuma kuteka watu jambo Jeshi linaamini utekaji ndio umefikisha nchi kwenye machafuko

View attachment 3516393
Nani Tanzania hii ana jeuri ya kukataa neno lolote toka kwa mkuu wa nchi?,hebu usitufanye watoto basi
 
Spinning inaendelea hadi January ipite, baada ya kifo cha samia, sasa wamekuja na ya mafwele kutekwa!

Hii ni Spinning inafanywa na serikali yenyewe kupitia vijana wa UVCCM ili bahari iendelee kuwa shwari...

Hakuna hata mtu wa uhamiaji humu anaeweza kuchek na database yao uhamiaji atuambie(waliotoka na kuingia nchini)...Pengine yuko likizo South afrika na familia yake anakula maisha....

Najaribu kuwaza kwa sauti ya chini sana kwa kutumia D yangu moja tu niliyonayo!
 
Back
Top Bottom