uuuuuuuuwi kwa mfano tu awe ni mwanaume kapata 20ml hajui chakufanya jaman hivi mtoa mada uko serious au unawaza endapo utapata
Mkuu,usimpoteze mwenzio,hakuna Suzuki Carry inaleta hesabu ya 50,000 kwa siku.Ninauzoefu wa Biashara hiyo na ninaifanya.
Njoo Buyuni hapa Vigwaza kata pori la eka 10 kwa Tsh 4.3m, kisha zinazobaki weka akiba benki, huku ukipambanua na kuchanganua miradi kadhaa itakayojitokeza. Au njoo hapa Mkuranga, nunua shamba kando ya mto eka kumi kwa milioni saba, kisha tulia, bei inapanda sana mitaa hii ya Mkuranga. Deal nyingi zinahitaji usimamizi wa karibu sana na saa nyingine inabidi kuwa mnoko sana ili hela irudi.
Kwa real estate, inabidi mtaji uwe mzuri, japo hiyo pesa waweza anzia kwa kununua kiwanja.
Ukiona hupati jibu, niambie ili nikuonyeshe alipo, kafungua kijiwe kikali sana,kinajaza nyomi wacha masihara.
nitaftie shamba na mimi mkuranga, japo acre moja
sijapata jibu, naomba siku tumsuprise hapo kijiweni.
Mkuu inategemea mimi nna pikipiki nne nilinunua zikiwa mpya kila moja 1.8M pamoja na usajili!sasa zina miezi2,kwa wiki napokea elfu42 kwa kila pikipiki ndio mkataba nilioingia na madereva!Cha muhimu ni kupata dereva mtunzaji sababu pikipiki ikiwa mpya unaweza tembelea miezi 5-6 ukawa unabadilisha oil tu.
Unataka shamba kiwanja au shamba hasa la kulima/kufuga?
shamba kiwanja
Hiyo 700,000 unamanisha akatoe sadaka kwa hakina mwingira!! Nafikiri Mtoa mada anataka kujua biashara gani afanye ilipe
Mkuu kama hautamind, ntakuuliza zaidi kuhusu biashara yako hii karibuni, nafikiria kuingia huko
Nenda Pale Meridian Betting Kawaulize Tena Nenda Na Hela Kabisa