Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,553
- 4,770
Nafatilia
Ulikuwa unamaanisha kwa wiki au kwa mwaka?Wakuu kama kichwa cha habari hapo juu. Najua hapa kuna wajuzi wa aina mbalimbali. Nimeona nililete kwenu kwa msaada zaidi.
Kuna dogo anataka kupiga mishe. Biashara gani inaweza kumuingizia milioni 1.5 hadi 2 kwa wiki kwa mtaji wa milioni 10?. Karibuni
Wakuu kama kichwa cha habari hapo juu. Najua hapa kuna wajuzi wa aina mbalimbali. Nimeona nililete kwenu kwa msaada zaidi.
Kuna dogo anataka kupiga mishe. Biashara gani inaweza kumuingizia milioni 1.5 hadi 2 kwa wiki kwa mtaji wa milioni 10?.
Karibuni
Ulikuwa unamaanisha kwa wiki au kwa mwaka?
Yaani uwekeze 10milion leo, baada ya wiki uvune 2milion. Kweli?
Hiyo biashara haipo popote duniani, na haijawahi kuwepo.
Asijukatishe mtu tamaa ww sio wao .ila hiyo labda ujikite biashara za it.na ww uwe na kichwa na mjasiri .kwa mil 10 kama pia unaujuzi maalum imetulia.ila chonde usiguse madini
Sikusema hakuna hela ila kama nilivokwambia uwe na ujuzi maalumuDaah Sasa Mbona Kina Marley Dollars na Chief Godlove wanapiga VIBUNDA kwenye madini?
Sio Kweli hakuna kisicho na hasara usimjaze imani sana ni mbaya itapotokea kakutana na negative profitDili ya direct tairi chakavu kwa mtaji wa nusu ya hiyo hela. Masoko yapo machaka ya kupata mzigo yapo
Dili nyingine ya moja kwa moja oil chafu. Faida yake haina hasara hata siku moja.
Nimeipenda biashara ambayo umeisema juu ya oil chafu hivyo ninaomba uweze kunisaidia location ya viwanda Ili nami nifanye investigation juu ya hili.Kuna viwanda sasa hivi vinakamua mafuta toka kwenye tairi chakavu huo mchakato unaitwa pyrolysis.
Na mafuta yanayokamuliwa yanaitwa IDO(Industrial Diesel Oli) haya yana soko kubwa sana kwenye viwanda vyote vinavyotumia mfumo wa BOILERS kama chanzo cha NISHATI
Tairi moja chakavu unainunua kati ya 1000 na 2000 nawe unaenda kuuza tani moja (approximately tairi 16 kwa laki moja.. Ukitoa mtaji na usafiri hukosi 50,000 faida kwa kila tani
Tairi kwa wingi zinapatikana kwenye mayard makubwa yenye kampuni za usafri
Viwanda vyenye kuhitaji hiyo malighafi hivi hapa
Mvuti Chanika
Kibada Kigamboni
Madafu Kibaha
Bagamoyo
Tegeta Dar
Naamini nimetoa maelezo ya kutosha sana
TATIANA
aliyetegwa