Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 16,328
- 52,317
Kumbe kuna watu mna siri, mnazitoaga wapi na mimi niwe nazo.
Hivyo ni vingi sana! Vikifumuliwa hapa dunia yote mdomo wazi! Sasa hapo sijui tuseme ni mimi na Mungu wangu ndio wasiri?Hivi hujawahi kujisimulia kitu mwenyewe!? 😂
Aah vijana wetu wakikurupuka huko walikosoma sentence moja wanakuja wanasema wamefanya utafiti wa kina hakuna uchawiMbona Mshana Jr, kuna uzi humu unahoji kama Ulozi upo au ni myths tu kwa nini huwasaidii vijana kuelewa! Nimeshangaa mpaka Msukuma mmoja naye anasema ni mambo ya kufikrika!
Mtoto jasiri yule! Jaribu bahati yako! Makurumbembe yatakuanika mchana kweupee😅Nataka nijilipue mwaka huu nikajaribu la Depal kawe Kasiri kangu sijui kataweza!
Thread 'Hivi, huwa ukiongea peke yako unaongea na nani?' Hivi, huwa ukiongea peke yako unaongea na nani?Hivyo ni vingi sana! Vikifumuliwa hapa dunia yote mdomo wazi! Sasa hapo sijui tuseme ni mimi na Mungu wangu ndio wasiri?