Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 4,169
- 12,954
Je ulitokea mtu uliemuaamini ukatumiwa au kugundua "mafile" yake yasiyopendeza machoni utachukua hatua gani?
Kwa zama hizi za technology ambazo hawasimulii tu Kwa kinywa Bali Kuna ushahidi wa picha,videos nk
Au response itategemea na ukubwa wa file na uzito wake?😊
Na ikiwa tayari ushaingia nae kwenye ndoa takatifu?
DADA/KAKA utachukua hatua gani?
Si naona tufanye yaliyopita si ndwele mgange yajayo?
Nimehoji baada ya kusoma kisa mahali,msemaji wa klabu ya mpira nguli Tz akidai ndoa yake haikudumu hata week nne,chanzo ni mafile ya zamani ya bibie aliyotumiwa na watu mbalimbali.
Alifanya mahusiano yake kuwa Siri zaidi ya miaka miwili,watu wengi hawakujua,hata alimvyomtolea mahari hawakujua,ila picha za send off zilivyopostiwa tu mtandaoni,wadau toka mahali tofauti wakamuona!!
mafile yakaanza kumiminika kwenye simu yake.alikosa hata nguvu ya kufunga Ndoa,akajikaza but mwezi mmoja tu akashindwa kuvumilia.
Kwa upande wako,dada/kaka
Ukikumbwa na situation kama hizi unazuhandle vipi?
Je ni sahihi kumuacha mwenza wako kisa Maisha yake ya nyuma?
Kumbuka hayo ni ya nyuma.
Bado Kuna Maisha ya mbeleni.
Karibuni
Kwa zama hizi za technology ambazo hawasimulii tu Kwa kinywa Bali Kuna ushahidi wa picha,videos nk
Au response itategemea na ukubwa wa file na uzito wake?😊
Na ikiwa tayari ushaingia nae kwenye ndoa takatifu?
DADA/KAKA utachukua hatua gani?
Si naona tufanye yaliyopita si ndwele mgange yajayo?
Nimehoji baada ya kusoma kisa mahali,msemaji wa klabu ya mpira nguli Tz akidai ndoa yake haikudumu hata week nne,chanzo ni mafile ya zamani ya bibie aliyotumiwa na watu mbalimbali.
Alifanya mahusiano yake kuwa Siri zaidi ya miaka miwili,watu wengi hawakujua,hata alimvyomtolea mahari hawakujua,ila picha za send off zilivyopostiwa tu mtandaoni,wadau toka mahali tofauti wakamuona!!
mafile yakaanza kumiminika kwenye simu yake.alikosa hata nguvu ya kufunga Ndoa,akajikaza but mwezi mmoja tu akashindwa kuvumilia.
Kwa upande wako,dada/kaka
Ukikumbwa na situation kama hizi unazuhandle vipi?
Je ni sahihi kumuacha mwenza wako kisa Maisha yake ya nyuma?
Kumbuka hayo ni ya nyuma.
Bado Kuna Maisha ya mbeleni.
Karibuni