ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,609
- 127,166
Mmmh, utakuwa wa tofauti, wenzako huko room wapo busy kusambazanaKatika watu nilotakiwa niwauze ni min maana namjua ndani nje! Ila nimeufyata!😃
Mmmh, utakuwa wa tofauti, wenzako huko room wapo busy kusambazanaKatika watu nilotakiwa niwauze ni min maana namjua ndani nje! Ila nimeufyata!😃
Siwezi, nawajua watu na sijawahi hata kuwawaza huku jf! Ya nje yanaishia hukohuko!Mmmh, utakuwa wa tofauti, wenzako huko room wapo busy kusambazana
Niamini mimi!
Thread 'Hivi, huwa ukiongea peke yako unaongea na nani?' Hivi, huwa ukiongea peke yako unaongea na nani?Sina msiri,msiri wangu ni moyo wangu
Tatizo consistency!Niamini mimi!
Msiri Wangu ni CCM na serikali ya Rais SamiaNakuchagulia Lucas Mwashambwa
That's maturity!Siwezi, nawajua watu na sijawahi hata kuwawaza huku jf! Ya nje yanaishia hukohuko!
Maybe,ila nafikiri I’m more consistent than you think mkuu..Tatizo consistency!
Bahati mbaya? Sinaga bahati mbaya.. makusudi tu!That's maturity!
Bahati mbaya sasa.....dah!
Mimi Sina na hata nikifa hakuna wa kuleta taarifa maana sitaki mambo ya kujuana.Namalizia mwezi wangu ndani ya chitchat nisepe zangu kulekule..!
Kila mtu kila mahali ana MSIRI wake kwenye kila Jambo.
Je wewe MSIRI wako ni nani JF?
Una hakika hata akilewa hawezi kufunguka?