Msiri wako ni nani JF?

Msiri wako ni nani JF?

Asante kwa kunibeba angalau leo😅😅 ila mimi na Grahams ni wazee sasa!!

Sema kaka Mshana anastahili tuzo ya Nobel, sio kwa kuichangamsha jf, daily asee!!
Kwa kweli tumekula kula chumvi hasa 🤗

Ila niwajuavyo vijana humu, hawachelewi kusema ni ile chumvi nyingine 🤪
 
Mods popote mlipo nyie ndiye wasiri wangu pekee ninao waamini

Mnajua kabisa Wazee huwa tunaongea nini na Wajukuu zetu tukiwa tumevuta Kiko zetu 🤭

Endeleeni kutulinda dhidi ya Vijana wa hovyo wanapotuwekea mitego kutaka kutukata mitama wakihisi huwa tunakagua Wajukuu zetu humu jambo ambalo kwa Uzee huu hakuna Mzee yeyote anafanya🤪

Hello Sunday 🥂
🤣🤣🤣🤣🤣🤪🤪
 
Ni kama ripoti ya yule babu, yaani ukichimama nchale, ukichuchumaa nchale🤣🤣
Hureeee nimependwa tena😋🥰😘
734655df412b98c27defc03e64171354.jpg
 
Kasema anatafuta target akipiga asikosee [emoji81][emoji81]

Sema naye anauweka mpaka wambea tutasahau mke mwenzie atjibebea ushindi..!!

Alete kipindi watu tuna mizuka akija siku tuko busy kuuza vijora atakutana na minguchiro imvamie..!! [emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Namalizia mwezi wangu ndani ya chitchat nisepe zangu kulekule..!

Kila mtu kila mahali ana MSIRI wake kwenye kila Jambo.

Je wewe MSIRI wako ni nani JF?

Una hakika hata akilewa hawezi kufunguka?
Hata huku nje sina msiri ndio itakuwa Jeiefu...siri zangu ni zangu nazijua mimi na Mungu tu
 
 
Hata huku nje sina msiri ndio itakuwa Jeiefu...siri zangu ni zangu nazijua mimi na Mungu tu
KIJIKO ULICHOTUMIA HOTELINI AU KWENYE MGAHAWA KILISHATUMIKA KWENYE MIDOMO YA WATU WENGI, HUENDA HATA KWENYE MDOMO WA ADUI YAKO.
 
Back
Top Bottom