Uwe mtoto wa Mungu uache kuvuta bangi🤣🤣🤣Unaniombea niweje?😆
Siwezi mwambia binadamu siri zangu za ndani🤣Unataka kuombewa au hutaki🤩🤩 kwa kweli dhambi ukiungama unaziacha kwa padri na haturuhusiwi kushare dhambi za muumini,
Huyu mmoja kawaka!🫢ukitia kibiriti analipuka🤭
Mchungaji haigopi kurogwa🥹🥹🥹Siku ukizianika nakuroga na uchungaji wako😂
We tulia tu nikupige kipapaiMchungaji haigopi kurogwa🥹🥹🥹
Hebu nijarubu 🤯🤯🤯Ndio kwanza kumekucha! Karibu mchungaji😁View attachment 3579837
Njoo utest mzee😂Hebu nijarubu 🤯🤯🤯
🫣🫣Njoo utest mzee😂
[emoji23][emoji23][emoji23] swadaktaaaa!!Safari za mamba kenge hawakosi ndo hao nguchiro..!!
Watu pekee tunaowataka ni Depal na fake P tu..!! Sisi tunaongea na wafuga mbwa na sio mbwa..!! [emoji81][emoji81][emoji81]
Wao wajisemeshe mpaka waingie period ila hatutoi kiki..!! [emoji81][emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan wafanye kumalizia mission hii, sijapenda bila kupata final Episode.[emoji81][emoji81][emoji81]
Nguchiro ana harufu mbaya.!!
Bana JF ukiwekwa umbea haunogi bila sisi na ule uzi tunao sana..!! Wataturudisha wenyewe..
Kamanda safari hii asijibu nguchiro wowote yeye ashushe missile tu..!! Na D naye aje ashushe tuone nani mkali wa vita..!! [emoji81][emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23]Ni kupiga pah! Mikunguni inaibuka na kuugulia maumivu..!! [emoji81][emoji81][emoji81]
Sasa marafiki wa namba E nafanya nao nini? Hata cha kuongea nao sina🤣🤣Ebu washangaze mataifa kesho uje na marafiki zako wale number E nijichagulie