Msiri wako ni nani JF?

Msiri wako ni nani JF?

Njoo utest mzee😂
8d683221-8b87-4007-af8a-9924d5e725f4.jpeg
 
Yaan wafanye kumalizia mission hii, sijapenda bila kupata final Episode.
Lol [emoji23][emoji23][emoji23]
Kasema anatafuta target akipiga asikosee 😹😹

Sema naye anauweka mpaka wambea tutasahau mke mwenzie atjibebea ushindi..!!

Alete kipindi watu tuna mizuka akija siku tuko busy kuuza vijora atakutana na minguchiro imvamie..!! 😹😹
 
Wanajua kabisa lazima kuna makaburi mengine tungeyafukua wakatuwahi. Maana lile sakata kuna dots niliziunganisha ile nimekuuliza tuu huu mwandiko unaufananisha na wa nani sekunde naona bans tuu.
Na makaburi yangefukuliwa kuna marehemu wangetoka na sanda..!! Wengine bado hawajaoza 😹😹😹

Em niambie ule mwandiko wa nani?
 
Kasema anatafuta target akipiga asikosee 😹😹

Sema naye anauweka mpaka wambea tutasahau mke mwenzie atjibebea ushindi..!!

Alete kipindi watu tuna mizuka akija siku tuko busy kuuza vijora atakutana na minguchiro imvamie..!! 😹😹
 
Na makaburi yangefukuliwa kuna marehemu wangetoka na sanda..!! Wengine bado hawajaoza 😹😹😹

Em niambie ule mwandiko wa nani?
😀😀😀😀ankal kama tuna yangu yasitiri🙏🏿
 
Back
Top Bottom