Kumbee, hongera yake.Likizo ya uzazi
Kumbee, hongeraa yake zaidiii.Halafu mapacha
Mimi pia kipenzi. Hujambo lakiniUlipotea sana dear, nilikumiss.
Mie sijamboo, [emoji8][emoji8]Mimi pia kipenzi. Hujambo lakini
Wazee tulindwe kisheria sasa, maana vita zetu ni kubwa mno 😂Babu wa hovyo huyu 😀🙌
Babu ulikua wap 😢Wazee tulindwe kisheria sasa, maana vita zetu ni kubwa mno 😂
Kwa kweli shughuli zangu za shamba zimenibana mno kwasasa, ila nipo sana humuBabu ulikua wap 😢
Au sukari ilipanda😅😅
Kwahiyo una tuchora wajukuu😢😏Kwa kweli shughuli zangu za shamba zimenibana mno kwasasa, ila nipo sana humu
Kila siku nasoma kama guest user 😜
Babu yenu nimezidi kuzeeka now, macho hayaoni sana 😜Kwahiyo una tuchora wajukuu😢😏
Hayo macho yapigwe msasa ule laini mithili ya ulimi huenda ukasaidika😅Babu yenu nimezidi kuzeeka now, macho hayaoni sana 😜
Niwe mkweli, kila siku nasoma JF kama guest user 😜
Mazingira yakiniruhusu ndiyo huwa naingia kuchangia kama hivi
Ngoja nimalize kuvuna tumbaku yangu utaniona mara nyingi tu 😜Hayo macho yapigwe msasa ule laini mithili ya ulimi huenda ukasaidika😅
Haya karibu guest user wa kuchaji
Kwahiyo hiyo tumbaku umelima wapiNgoja nimalize kuvuna tumbaku yangu utaniona mara nyingi tu 😜
Jioni nipeleke tupunge upepo Sun N Sand beach mjukuu
Nilijua wewe ni huyo wa kwenye Avatar 😅 maana huyo ni Gen ZKwahiyo umeacha kutuamini Wazee mjukuu 🙌
Tumbaku nimelima mkoani
Huyo ni mimi miaka 50 iliyopitaNilijua wewe ni huyo wa kwenye Avatar 😅 maana huyo ni Gen Z
sawa karibu daslamu
Lt col kaniangusha sana kuwa mtu wa hivi. Hana tofauti na penseli[emoji23][emoji23][emoji23]
Uduguuu kwani tunapigajee? Ujue nacheka nini? Debo na fake p wako pembeni, wameibuka wapyaa kulikoniii?
Mie nataka Debo na fake P wamalizie pambano sikubaliii nikose hitimisho.
Wee!!
Cantrii umekujaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23]Lt col kaniangusha sana kuwa mtu wa hivi. Hana tofauti na penseli
Nimekuja nipo winja😅😅Cantrii umekujaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23]