Msiri wako ni nani JF?

Msiri wako ni nani JF?

Kuna members wengi sana humu, wamebadiri ID's kutokana na kuanikwa, au kukamiwa, kutukanwa sana na kusakamwa. JF ili uwe salama, lazima uweze ku maintain hali ya kutotambulika, ikitokea vinginevyo basi faragha yako, inaingiliwa, ndio maana ni mwiko "name calling" hapa JF.

Tunaweza kuwa tunahusiana au kufahamiana nje ya JF, lakini ukiniita kwa jina langu humu ni kosa, nikilalamika kwa mods, unaweza pewa ban, labda kama nimeamua kuwa verified. Hii yoye ni kulinda image na faragha ya watumiaji. Kama umeamua kutambulika humu, do it at your own risk.
Risk iko wap ukitambulika
Mbona kama tunayakuza sana huko FB sijui Instagram mbona tunajuana
Mie mtu akiamua kunianika
Kama itampa furaha ni sawa tu👍
 
Seran au ametuhack huyu jamaa 😂 😂 anajuaje siri zetu?
5c64b12e-8fbd-473f-bebf-5b8d766c312d.jpeg
 
Kuna members wengi sana humu, wamebadiri ID's kutokana na kuanikwa, au kukamiwa, kutukanwa sana na kusakamwa. JF ili uwe salama, lazima uweze ku maintain hali ya kutotambulika, ikitokea vinginevyo basi faragha yako, inaingiliwa, ndio maana ni mwiko "name calling" hapa JF.
Watu wanapenda hayo mambo kuliko hata kula, chagueni kwa makini watu mnaojihusisha nao, kuna wengine wana mental issues, their love love language is shaming others
Tunaweza kuwa tunahusiana au kufahamiana nje ya JF, lakini ukiniita kwa jina langu humu ni kosa, nikilalamika kwa mods, unaweza pewa ban, labda kama nimeamua kuwa verified. Hii yoye ni kulinda image na faragha ya watumiaji. Kama umeamua kutambulika humu, do it at your own risk.
Hmm umetoa onyo kali sana hapa mkuu😆 hii naielewa hii..
 
Utakua na kiwanda cha siri
Hujakosea 😹😹😹
Halafu hata nikigoma wasiniletee wananipliz wanipe mapdf..

Halafu huwezi amini pamoja na hekaheka zangu zote sijawahi kuwatolea siri zao. Nimefunga kufuli na funguo nimetupa..!!

Na si unajua wambea tunapewa zile convo hot za watu pm na mipicha picha exclusive 🤣😹😹
 
Hujakosea 😹😹😹
Halafu hata nikigoma wasiniletee wananipliz wanipe mapdf..

Halafu huwezi amini pamoja na hekaheka zangu zote sijawahi kuwatolea siri zao. Nimefunga kufuli na funguo nimetupa..!!

Na si unajua wambea tunapewa zile convo hot za watu pm na mipicha picha exclusive 🤣😹😹
Na umbea wote na bado una kifua koongole kwako sisi watu waongeaji sana hua tuna siri mnooo 💯

Usikute una file langu huko🫢😁
 
Back
Top Bottom