Msiomkubali mwalimu Nyerere angalia hapa.

Msiomkubali mwalimu Nyerere angalia hapa.

hakuna mwanadam alioumbwa kakamilika, kwa wakati wake mwalim kuna mema aloyafanya, tmshukuru kwa hilo na kuna mabaya pia, kama binadam tumsamehe kwa hayo...kwani sis ni mangapi tumefanya mema na mabaya...
 
Ni msomi wa zamani na Rais wa kwanza wa Tanzania, hakuna anaepinga hilo, nawe usipinge kuwa yeye ndiye aliifanya hii nchi kuwa maskini wa mwisho duniani, alikuwa dikteta, na ndiye chanzo cha udini Tanzania kwa kulitumikia Kanisa Katoliki zaidi ya wananchi wake ambao wengi wao si wakatoliki na ndio sababu mpaka alipostaafu Mwitongo akihudumiwa na ma sista wa kanisani kama ma hausigeli wake na ndio katuzwa uwenye heri akingojea muujiza wa kumfanya mtakatifu.
Mtu kama wewe ukipewa nchi lazima wakristu wote wakimbie,maana chuki ulizonazo kwa wakristu zinatisha sana!Lakini lazima uelewe kwamba wakristu walikuwepo,wapo na wataendelea kuwepo daima na milele!

Adolf hitler alifanya mauaji makubwa ya wayaudi huku akiwa na fikra za kukifutiliambali kizazi cha wayaudi lakini alishindwa na mbaka leo wayaudi wapo na wananguvu ya ajabu!

Mahmud ahmad Nejad alipochaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa rais wa Iran aliitangazia dunia kuwa ataifuta Israel kwenye ramani ya Dunia,lakini mbaka leo amechindwa na amebaki kubweka kama mbwa koko!

Wewe, shehe Ponda Issa Ponda,Mukadam Swalehe,Shehe Ilunga,Shehe Mselemi,Shehe Ilunga na waislamu wote wenye chuki na ukristu kamwe hamtaweza kufikia malengo yenu yenye hila dhidi ya ukristu!

CC: Freshthinking, Ally Kombo, fazaa
 
Last edited by a moderator:
Soma vizuri post yangu kuna neno kusoma au kusomeshwa? Mbona unajishukushuku?[/QUOTE

Ulitaka mfungwe kamba kupelekwa shule? Waarab wako na dini yako mmekazana kutukana ukatoliki na wakatiliki. Sisi tunaendelea kujenga shule, vyuo, hospitali wakati nyinyi mnasema Mwl. Nyerere katusomesha. JK kasoma wapi shule ya msingi? Mbona yeye kasoma. Walioleta dini yako wanajenga madrasa na kukufundusha karate. Wewe endelea kujenga majungu fitina kama zitakukomboa.
Soma mengine yaliyomo kwenye post yangu. Narudia tena uislam wako una walakini.
Nasisitiza soma the satanic verses ujue unasima wapi.
 
Rais wa kwanza wa Tanzania Mzee Nyerere katuwekea historia ambayo tuliokuwepo wakati wake hatuisahau daima:
Tulikosa hata dawa za meno wakati wake, tukaletewa dawa za kichina ukipigia mswaki, haupati testi ya chumvi wala sukari.



Umeshawahi uziona hizi?

Maxam%20120g.jpg

Mimi nimeshawahi kuziona ni dawa kama dawa nyingine,sioni geni hapa!labda uendelelea tu kufunguka na chuki zako kwa ukristu!
 
Mtu kama wewe ukipewa nchi lazima wakristu wote wakimbie,maana chuki ulizonazo kwa wakristu zinatisha sana!Lakini lazima uelewe kwamba wakristu walikuwepo,wapo na wataendelea kuwepo daima na milele!

Adolf hitler alifanya mauaji makubwa ya wayaudi huku akiwa na fikra za kukifutiliambali kizazi cha wayaudi lakini alishindwa na mbaka leo wayaudi wapo na wananguvu ya ajabu!

Mahmud ahmad Nejad alipochaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa rais wa Iran aliitangazia dunia kuwa ataifuta Israel kwenye ramani ya Dunia,lakini mbaka leo amechindwa na amebaki kubweka kama mbwa koko!

Wewe, shehe Ponda Issa Ponda,Mukadam Swalehe,Shehe Ilunga,Shehe Mselemi,Shehe Ilunga na waislamu wote wenye chuki na ukristu kamwe hamtaweza kufikia malengo yenu yenye hila dhidi ya ukristu!

CC: Freshthinking, Ally Kombo, fazaa

Laiti ungeliujuwa Uislaam ni nini, japo kidogo tu, lisingekutoka povu namna hiyo. Jee, unajuwa maana ya Uislaam?
 
Mimi nimeshawahi kuziona ni dawa kama dawa nyingine,sioni geni hapa!labda uendelelea tu kufunguka na chuki zako kwa ukristu!

Umeshawahi kuvaa makatambuga kama fashen bila kupenda?
 
Soma vizuri post yangu kuna neno kusoma au kusomeshwa? Mbona unajishukushuku?[/QUOTE

Ulitaka mfungwe kamba kupelekwa shule? Waarab wako na dini yako mmekazana kutukana ukatoliki na wakatiliki. Sisi tunaendelea kujenga shule, vyuo, hospitali wakati nyinyi mnasema Mwl. Nyerere katusomesha. JK kasoma wapi shule ya msingi? Mbona yeye kasoma. Walioleta dini yako wanajenga madrasa na kukufundusha karate. Wewe endelea kujenga majungu fitina kama zitakukomboa.
Soma mengine yaliyomo kwenye post yangu. Narudia tena uislam wako una walakini.
Nasisitiza soma the satanic verses ujue unasima wapi.

sisi tunawaombea mzidishe bidii, lakini huoni na usomi wenu wote huo na kushika nyadhifa kubwa kubwa zote mlipoifikisha Tanzania? Usomi wenu umesaidia nini? Kujenga au kubomowa?
 
Ni msomi wa zamani na Rais wa kwanza wa Tanzania, hakuna anaepinga hilo, nawe usipinge kuwa yeye ndiye aliifanya hii nchi kuwa maskini wa mwisho duniani, alikuwa dikteta, na ndiye chanzo cha udini Tanzania kwa kulitumikia Kanisa Katoliki zaidi ya wananchi wake ambao wengi wao si wakatoliki na ndio sababu mpaka alipostaafu Mwitongo akihudumiwa na ma sista wa kanisani kama ma hausigeli wake na ndio katuzwa uwenye heri akingojea muujiza wa kumfanya mtakatifu.

Kumbe siku zingine huwa una akili. Nilifikiri huwa wanakusingizia Zoba
 
Kumbe siku zingine huwa una akili. Nilifikiri huwa wanakusingizia Zoba

Matusi ya nini ndugu yangu nasi tunajadiliana na kila mmoja wetu na muono wake? tunaweza tukaongea bila kutukanana na mjadala ukawa mzuri na wa manufaa kwa sote. Au wewe ni lazima utukane?
 
Atabaki kuitwa Baba wa taita,shujaa wa taifa na jemedari aliyewafukuza wakoloni...wapo wengi lakini huyu ni kinara na anastahili sifa.
 
Christopher Kasanga tumbo, Joseph Kaselabantu,Oscar Kambona,Tuntemeke sanga,Edwin Mtei,Christpher mtikila,Lifa chipaka hawa wote ni wazee wa ghahawa na Kashata? Ikiwa umekariri hivyo hata hoja za hawa wazee niliowataja huwezi kuelewa.Zipo hoja nyingi za msingi za wanaompinga that is why hata yeye mwenyewe kwenye hotuba zake alikiri kuwa hakuwa akiongoza serikali ya malaika.Taarifa za Kifedha Uswiz zinasema viongoz wa tz walianza kuficha fedha uswiz 1974 je nao ni wazee wa kashata? Hata kama kwa mtazamo wako Nyerere alikuwa bora kuliko wengine pia tambua haiondoi uwezekano wa kukosolewa!

Ukiwa na fikra za kibepari enzi za Nyerere lazima utamchukia tu. Hao uliowataja wote ni wa mrengo huo na kwa namna moja waliathirika na sera za Mwalimu moja kwa moja kutokana na wao au familia zao kutaifishwa mali zao au kutoupenda ujamaa. Utambue pia kuwa kwa kumpinga Nyerere haikumaanisha kuwa wao walikuwa sahihi sana
 
Matusi ya nini ndugu yangu nasi tunajadiliana na kila mmoja wetu na muono wake? tunaweza tukaongea bila kutukanana na mjadala ukawa mzuri na wa manufaa kwa sote. Au wewe ni lazima utukane?

Nimefurahishwa na hoja zako muflisi yaelekea umekunywa sumu ya udini
 
Matusi ya nini ndugu yangu nasi tunajadiliana na kila mmoja wetu na muono wake? tunaweza tukaongea bila kutukanana na mjadala ukawa mzuri na wa manufaa kwa sote. Au wewe ni lazima utukane?

Samahani sikumaanisha sumu ya udini bali pombe ya udini halafu imekupanda kichwani
 
Hakuna lolote la maana alilofanya ktk nch hii huyo nabii wenu mchonga, zaid kututia kwenye majanga tu, muungano ucyo na tija na ZNZ, ambao umepelekea Watanganyika kuupoteza utaifa we2 pia kutuingiza kwenye vita Uganda, kutokana na chuk yake na I.Amin

Kuwa na heshima kwa wazee tafadhali!
 
Mtu kama wewe ukipewa nchi lazima wakristu wote wakimbie,maana chuki ulizonazo kwa wakristu zinatisha sana!Lakini lazima uelewe kwamba wakristu walikuwepo,wapo na wataendelea kuwepo daima na milele!

Adolf hitler alifanya mauaji makubwa ya wayaudi huku akiwa na fikra za kukifutiliambali kizazi cha wayaudi lakini alishindwa na mbaka leo wayaudi wapo na wananguvu ya ajabu!

Mahmud ahmad Nejad alipochaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa rais wa Iran aliitangazia dunia kuwa ataifuta Israel kwenye ramani ya Dunia,lakini mbaka leo amechindwa na amebaki kubweka kama mbwa koko!

Wewe, shehe Ponda Issa Ponda,Mukadam Swalehe,Shehe Ilunga,Shehe Mselemi,Shehe Ilunga na waislamu wote wenye chuki na ukristu kamwe hamtaweza kufikia malengo yenu yenye hila dhidi ya ukristu!

CC: Freshthinking, Ally Kombo, fazaa
Hata wakati wa Mtume Muhammad wakristo walikuwepo na walikuwa wakimwambia tume kuwa Yesu ni Mungu, Mtume aliwaambia wakristo kuwa wenyezi Mungu Subhanahu, ametakasika ! Hna udhaifu wa kuwa 'mtu'
Walipobisha sana akawaambi wakristo waje na watoto wao, wake zao na jamaa zao na Waislaam hali kadhalika kisha wakae katika uwanja mkubwa waombe Duwa Mwenyezi Mungu ahukumu kati ya wakristo na waislaam ni nani mkweli !
Wakristo wakakimbia !

Wakristo watakuwepo mpaka ukamilifu wa dahar ! lakini Dini ya Mwenyezi Mungu itashinda Dini Zote !
 
Dah! Yaan nasoma weee hii thread
Nacheka... Nanuna.... Nakasirika yaaan kila mmoja anafanya nijisikie tofauti:
Ila naamini mpaka nitapoenda kaburini sidhani kama atatokea raisi MZALENDO kama Baba wa Taifa:
Mpeni heshima yake kwani jueni kwamba hata miaka 300 ijayo ni nyerere pekee atayeongelewa katika historia ya nchi hii kuliko wengine woooote:
'the fact will remain'
Hizi nyingine ni porojo tu
 
kuna kale karedio kanaitwa imaan, itapendeza wakiona hii
 
ukiwachunguza watu wanaompinga Nyerere utagundua wana sifa fulani zinazofanana. si kwamba wana akili sana au wasomi wakubwa kuliko hao wanaomsifu. sifa moja inaweza kuwa chuki tu au wivu. wengine wamejazwa kasumba mbaya na kujawa na udini.
siku za kuomboleza kifo cha mwalimu wananchi walifurika, vilio kila mahali, wengine walizimia. kifo chake killikua tishio na ni ishara alikuwa mtu wa watu. wananchi hawakuwa wanafiki walikumbuka mema aliyotenda wakasahau mabaya machache. watu wengi hata sasa humsifu lakini ni wachache tu humponda kwa kujifanya wajuzi wa mambo. afrika nzima na dunia humtaja mwalimu kama shujaa na wala si dikteta. ni watu wachache tu hapa nchini hupenda kumtukana. mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni
 
Laiti ungeliujuwa Uislaam ni nini, japo kidogo tu, lisingekutoka povu namna hiyo. Jee, unajuwa maana ya Uislaam?
Inawezekana kabisa uislamu kama dini hauna matatizo.Lakini kwa bahati mbaya kuna watu wachache wanaojiita waislamu wanaifanya dini hii ionekane ya kihuni na kigaidi kwa matendo yao!Inafika wakati mtu anapata taabu kutofautisha uislamu na ugaidi!
 
Wakristo watakuwepo mpaka ukamilifu wa dahar ! lakini Dini ya Mwenyezi Mungu itashinda Dini Zote !

Mkuu Ally Kombo ni matendo yako tu ndiyo yanaweza kukufikisha kwenye ufalme wa mungu,dini yako ni bure kabisa kwa mungu!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom