Naibili
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 1,878
- 1,061
fastjet amesaidia nchii hii kitoka kwenye umaskini na mzee ruksa alisaidia kututoa kwenye udikteta haya furahi sasa nmesifia viongozi wako!!!!!!Ni msomi wa zamani na Rais wa kwanza wa Tanzania, hakuna anaepinga hilo, nawe usipinge kuwa yeye ndiye aliifanya hii nchi kuwa maskini wa mwisho duniani, alikuwa dikteta, na ndiye chanzo cha udini Tanzania kwa kulitumikia Kanisa Katoliki zaidi ya wananchi wake ambao wengi wao si wakatoliki na ndio sababu mpaka alipostaafu Mwitongo akihudumiwa na ma sista wa kanisani kama ma hausigeli wake na ndio katuzwa uwenye heri akingojea muujiza wa kumfanya mtakatifu.
Tatizo lenu mkiulizwa mlitaka Mwl afanye nini katika nchi hii na wasomi wachache, alitumia kilimo kusomesha bure watu mpaka vyuo vikuu, tumewazoea kulalamika ndio jadi yenu