zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 11,339
- 9,819
FACT - tumefika hapa tulipo sababu ya madudu ya nyerere, baada ya miaka 20 alipoona nchi imemshinda akaamua kumuachia mwinyi
FACT - tumefika hapa tulipo sababu ya madudu ya nyerere, baada ya miaka 20 alipoona nchi imemshinda akaamua kumuachia mwinyi
Wasiomkubali mwalimu Nyerere wana chuki binafsi ila kwa upande wa uongozi na fikra pevu na zenye kuona mbali,hajawahi tokea kiongozi safi Tanzania kama Nyerere.
Akili za madrasa ndio zimekufanya uelewe hivyo? This sucksKwa hiyo inabidi ni mkubali Nyerere kwa sababu alisoma edinburgh university? That sucks.
Kikwete anamtoa lini Ponda?
FACT - tumefika hapa tulipo sababu ya madudu ya nyerere, baada ya miaka 20 alipoona nchi imemshinda akaamua kumuachia mwinyi
Kikwete anamtoa lini Ponda?
calm your tits ponda yupo safe & sound
Halafu MWINYI alipoachiwa akafanya nini...au naye akaendeleza madudu????
FACT - tumefika hapa tulipo sababu ya madudu ya nyerere, baada ya miaka 20 alipoona nchi imemshinda akaamua kumuachia mwinyi
Mkuu, wa zamani nani?, AL MUQADIM au?
Halafu MWINYI alipoachiwa akafanya nini...au naye akaendeleza madudu????
Blah blah!!!!is mahabusu a safe place? Mbona mnapanga kuandamana mkamtoe?
Muslims(jk) against muslims(nyinyi)
Halafu MWINYI alipoachiwa akafanya nini...au naye akaendeleza madudu????
alitumia shule alizozkuta kuwasomesha akina Sitta/Rioba/Ulimwengu na wengine, hawa mashujaa wako c ndio waliojenga madarasa mengi ya kufugia kuku na kufaulisha watoto wasiojua kuandika majina yao?.Shujaa kwako!mtu aliyetawala kwa miaka 25,akashindwa kvambua mahitaji MUHIMU ya raia wake,kwa kipindi chote hicho hakuweza KUJENGA JAPO CHUMBA KIMOJA TU CHA DARASA! HATA KM MOJA TU YA BARABARA YA TOPE ACHILIA MBALI LAMI.ALIYETAKA TULINGANE NA WANYAMA KWA KUTEMBEA UCHI.SINTA MSAHAU!
Yule mzee ni kichwa cha mwenda wazimu, ndiyo maana Nyerere alimwambia kuwa anaongoza nchi kwa kushauriwa na mkewe.
Nashangaa watu wanamsifia pia wanamsifu hata yule prof. aliye mshahuri kuingiza mitumba kwa wingi nchini, kwa namna hii walitegemea viwanda vya nguo viwe salama?
Pia huyu mzee kichwa cha mwenda wazimu, alishiriki katika uharamia wa kutorosha wanyama hai kwenda uarabuni, wakatengeneza zoo.
leo hii unaangalia TV , nakutumia internet , na kula ugali "unga mweupe", unapata sukari bila foleni , hakuna siku ya kununua sabuni . sababu ya mzee ruksa..
utakuwa si mwingi wa shukran kama hutoona jinsi mwinyi alivyotutoa kwenye hali mbaya
Akili za madrasa ndio zimekufanya uelewe hivyo? This sucks
afu mwambie uyo wanaemuita zomba kwamba mwalim aliwahi kukiri kwamba kuna mengi mabaya kayafanya na mengine mazuri kayafanya, kwahyo alitambua mapema kama yeye ni mwanadamu pia, sultani alivyokuja alijenga shule ipi na ipi?, c ni wao waliokataa kwenda shule kwa kuhofia(ujinga) kwamba watabatizwa?, waislamu wangapi waliosoma misheni na kubatizwa?, c mlizngatia elemu akhera-nendeni mkafanye kazi kuzimu sasa, sawa aliifanya nchi kua maskini lakini alithubutu kuuza eneo la nchi kwa wamarekani?, alikua na akaunti uswizi?, watoto zake walimiliki maroli(traillers)?, mke wake aliimport vnywaji vya kopo tena bila kulipa kodi?, alikua na shamba mvomero la ekari 300?, atuambie basi nani bora kati yake (mwalimu) na hawa jamaa wa sku izi (washkaji), kuna hata mmoja anayeweza kumfikia? .ALIYECHOKA KUFIKIRI HUAMINI ANAJUA SANA.Ulitaka atunzwe na mashehe? Au maustadha?
Kaka ina maana hapa ndio akili imefika mwisho kufikiri?
No wonder madrasa graduate!!