zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,938
aina ya watu kama wewe huwa pia wanashida ya kufikiri na kuchanganua mambo kwa kina.
Nini ambacho unataka kufafanuliwa kwa kina katika hayo niliyoyaandika? Your wish is my command.
aina ya watu kama wewe huwa pia wanashida ya kufikiri na kuchanganua mambo kwa kina.
Nini ambacho unataka kufafanuliwa kwa kina katika hayo niliyoyaandika? Your wish is my command.
kabla hata hujafafanua imeshajulikana utafafanua nini. no need.
Kwa hiyo ukweli unaujuwa. Hongera sana.
Kwa hiyo ukweli unaujuwa. Hongera sana.
Mkuu najua kinachokusukuma kumsema Mwalimu..ni imani yako wala si kingine....maana watu wa imani yako ndio wanaongoza kwa kumsonga Mwalimu...
Lkn wenye akili tunajua hizo ndizo tabia zenu za asilikabisa katka imani yenu kugeuza geuza mambo..tunaowajua hamtusumbui...naweza weza hata kukupa andiko kutoka katika imani yako inayosapoti tabia zenu hizi za kufundishana hata kupigana bila kufikiri!!
Any way ..Nyerere kitu gani bwana, watu wanampinga Yesu kristo walimpinga akiwa hai dai leo wana mpinga na kupotosha mafundisho yake!! Watu wanampinga Mtume Mohamed SAW... walimpinga alipokuwa hai hadi leo wanampinga....!
Lakini mwisho wa siku kweli itasimama na itauweka huru, nuru itashinda giza!!
Akili ya nguchiro!Ni msomi wa zamani na Rais wa kwanza wa Tanzania, hakuna anaepinga hilo, nawe usipinge kuwa yeye ndiye aliifanya hii nchi kuwa maskini wa mwisho duniani, alikuwa dikteta, na ndiye chanzo cha udini Tanzania kwa kulitumikia Kanisa Katoliki zaidi ya wananchi wake ambao wengi wao si wakatoliki na ndio sababu mpaka alipostaafu Mwitongo akihudumiwa na ma sista wa kanisani kama ma hausigeli wake na ndio katuzwa uwenye heri akingojea muujiza wa kumfanya mtakatifu.
Siamini kweli haya uliyoandika yanatoka kichwani mwako ama sehemu nyingine!mh!!Shujaa kwako!mtu aliyetawala kwa miaka 25,akashindwa kvambua mahitaji MUHIMU ya raia wake,kwa kipindi chote hicho hakuweza KUJENGA JAPO CHUMBA KIMOJA TU CHA DARASA! HATA KM MOJA TU YA BARABARA YA TOPE ACHILIA MBALI LAMI.ALIYETAKA TULINGANE NA WANYAMA KWA KUTEMBEA UCHI.SINTA MSAHAU!
Umaskin, ujinga, udini na upuuz mwingne wa aina hiyo, uliaccwa na huyo nabii wenu MCHONGA, mnaomfagilia nadhan akili zenu zimemwagikiw na mafuta ya taa!
Ni msomi wa zamani na Rais wa kwanza wa Tanzania, hakuna anaepinga hilo, nawe usipinge kuwa yeye ndiye aliifanya hii nchi kuwa maskini wa mwisho duniani, alikuwa dikteta, na ndiye chanzo cha udini Tanzania kwa kulitumikia Kanisa Katoliki zaidi ya wananchi wake ambao wengi wao si wakatoliki na ndio sababu mpaka alipostaafu Mwitongo akihudumiwa na ma sista wa kanisani kama ma hausigeli wake na ndio katuzwa uwenye heri akingojea muujiza wa kumfanya mtakatifu.
Ni msomi wa zamani na Rais wa kwanza wa Tanzania, hakuna anaepinga hilo, nawe usipinge kuwa yeye ndiye aliifanya hii nchi kuwa maskini wa mwisho duniani, alikuwa dikteta, na ndiye chanzo cha udini Tanzania kwa kulitumikia Kanisa Katoliki zaidi ya wananchi wake ambao wengi wao si wakatoliki na ndio sababu mpaka alipostaafu Mwitongo akihudumiwa na ma sista wa kanisani kama ma hausigeli wake na ndio katuzwa uwenye heri akingojea muujiza wa kumfanya mtakatifu.
Ulitaka awasomeshe Waislam kwa nguvu? Kama alilipendelea Kanisa Katoliki mbona Lutherans, Anglicans, Pentekests .... wamesoma? I think you have very big problems in your upper faculties. Wewe unathamnin Madrasa tu.Mwl. Nyerere ameng'atuka uongozi 1985,> Mbona bado mmeng'ang'ani madrasa.
Kwa nini unapenda sana kutukana na kushambulia Wakatoliki na Ukatoliki? Uislam wako ni tatizo kwako. Kanisa limejenga juu ya mwamba ambao shetani na wafuasi wake hawawezi kuliangusha.
Tafadhali soma the Satanic verses ili ujue umesimama wapi.]