Msiomkubali mwalimu Nyerere angalia hapa.

Msiomkubali mwalimu Nyerere angalia hapa.

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2008
Posts
55,030
Reaction score
59,683
zomba
attachment.php
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1359908954.212571.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1359908954.212571.jpg
    15.7 KB · Views: 2,589
Ni msomi wa zamani na Rais wa kwanza wa Tanzania, hakuna anaepinga hilo, nawe usipinge kuwa yeye ndiye aliifanya hii nchi kuwa maskini wa mwisho duniani, alikuwa dikteta, na ndiye chanzo cha udini Tanzania kwa kulitumikia Kanisa Katoliki zaidi ya wananchi wake ambao wengi wao si wakatoliki na ndio sababu mpaka alipostaafu Mwitongo akihudumiwa na ma sista wa kanisani kama ma hausigeli wake na ndio katuzwa uwenye heri akingojea muujiza wa kumfanya mtakatifu.
 
Ni msomi wa zamani na Rais wa kwanza wa Tanzania, hakuna anaepinga hilo, nawe usipinge kuwa yeye ndiye aliifanya hii nchi kuwa maskini wa mwisho duniani, alikuwa dikteta, na ndiye chanzo cha udini Tanzania kwa kulitumikia Kanisa Katoliki zaidi ya wananchi wake ambao wengi wao si wakatoliki na ndio sababu mpaka alipostaafu Mwitongo akihudumiwa na ma sista wa kanisani kama ma hausigeli wake na ndio katuzwa uwenye heri akingojea muujiza wa kumfanya mtakatifu.

Stori hizi zimepitwa na wakati...Ni kelele masikioni...Njoo na tungo ingine mpya..
 
... Wasio mkubali ni wale wasiyokuwa na akili timamu, nani mapunguani.
Muda si mrefu watajitoke hapa kuanza kutoa maneno ya kejeli.
Na wengi wao hawajui historia ya nchi yetu ya Tanzania.
Nyerere atabaki kuwa shujaa wa taifa hili.

Hujamuona mmoja wao hapo juu....
 
Nadhani watu ambao ni myopic hawawezi kumpenda Mwalimu Nyerere kwa vile hazina ya mambo mengi ya kiakili aliyoacha imejificha kwenye vitabu. Ni bahati mbaya kuwa nchi yetu haina utaratibu mzuri wa kujisomea kutokana na mfumo mbovu wa elimu. Rejea jinsi bunge linavyokorogana kuhusiana na elimu yetu ilivyozikwa na wachoyo wachache tena wenye PhD.
 
... Wasio mkubali ni wale wasiyokuwa na akili timamu, nani mapunguani.
Muda si mrefu watajitoke hapa kuanza kutoa maneno ya kejeli.
Na wengi wao hawajui historia ya nchi yetu ya Tanzania.
Nyerere atabaki kuwa shujaa wa taifa hili.

We acha tu, uzuri wamkubali wasimkubali hawawezi kubadilisha uhalisia kwamba jamaa alikua wa aina yake.
 
Nadhani watu ambao ni myopic hawawezi kumpenda Mwalimu Nyerere kwa vile hazina ya mambo mengi ya kiakili aliyoacha imejificha kwenye vitabu. Ni bahati mbaya kuwa nchi yetu haina utaratibu mzuri wa kujisomea kutokana na mfumo mbovu wa elimu. Rejea jinsi bunge linavyokorogana kuhusiana na elimu yetu ilivyozikwa na wachoyo wachache tena wenye PhD.

Umemaliza Mkuu
 
Nadhani watu ambao ni myopic hawawezi kumpenda Mwalimu Nyerere kwa vile hazina ya mambo mengi ya kiakili aliyoacha imejificha kwenye vitabu. Ni bahati mbaya kuwa nchi yetu haina utaratibu mzuri wa kujisomea kutokana na mfumo mbovu wa elimu. Rejea jinsi bunge linavyokorogana kuhusiana na elimu yetu ilivyozikwa na wachoyo wachache tena wenye PhD.

Ume-kill...
 
Ni msomi wa zamani na Rais wa kwanza wa Tanzania, hakuna anaepinga hilo, nawe usipinge kuwa yeye ndiye aliifanya hii nchi kuwa maskini wa mwisho duniani, alikuwa dikteta, na ndiye chanzo cha udini Tanzania kwa kulitumikia Kanisa Katoliki zaidi ya wananchi wake ambao wengi wao si wakatoliki na ndio sababu mpaka alipostaafu Mwitongo akihudumiwa na ma sista wa kanisani kama ma hausigeli wake na ndio katuzwa uwenye heri akingojea muujiza wa kumfanya mtakatifu.

Umefunika hizo ndizo sifa sahihi za huyo babu
 
... Wasio mkubali ni wale wasiyokuwa na akili timamu, nani mapunguani.
Muda si mrefu watajitoke hapa kuanza kutoa maneno ya kejeli.
Na wengi wao hawajui historia ya nchi yetu ya Tanzania.
Nyerere atabaki kuwa shujaa wa taifa hili.

Shujaa kwako!mtu aliyetawala kwa miaka 25,akashindwa kvambua mahitaji MUHIMU ya raia wake,kwa kipindi chote hicho hakuweza KUJENGA JAPO CHUMBA KIMOJA TU CHA DARASA! HATA KM MOJA TU YA BARABARA YA TOPE ACHILIA MBALI LAMI.ALIYETAKA TULINGANE NA WANYAMA KWA KUTEMBEA UCHI.SINTA MSAHAU!
 
Sio kwamba watu hawamkubali Mwl.Nyerere na familia yake hapana,kinachikataliwa ni namna ambavyo watu wanavyolitumia jina lake isivyo sawa kisiasa.

Kumkubali Mwl.Nyerere ni kufuata yale mazuri na kuyapuuza yale ambayo baadhi wanao hayakuwa kuwa katika utawala wake na hata baada ya kustaafu uraisi mwaka 1984-1985.

Kumzungumzia Mwl. Nyerere ni jambo jema kabisa la kujikumbusha uzalendo ulitukuka kwa mtanzania halisi na hivyo kuwa somo tosha la wanamapinduzi wa kweli wenye nia moja ya kulijenga taifa.

Ni wajibu sasa kwa pamoja kufuta nyayo za utajiri wa hekima na busara aliyotuachi Mwl.Nyerere,akiwezekana tuanze mara moja kubadilika kifikra kwa maana ya "uzalendo kwanza,mengine baadae".
 
Nyerere atabaki kuwa mtu maarufu hapa tanzania.kuna mengi mazuri ametuachia lakini kuna mengi mabaya ametuachia ambayo yanaendelea kututafuna
 
Wazee wa Ghahawa na kashata ndo hawamkubali...

Christopher Kasanga tumbo, Joseph Kaselabantu,Oscar Kambona,Tuntemeke sanga,Edwin Mtei,Christpher mtikila,Lifa chipaka hawa wote ni wazee wa ghahawa na Kashata? Ikiwa umekariri hivyo hata hoja za hawa wazee niliowataja huwezi kuelewa.Zipo hoja nyingi za msingi za wanaompinga that is why hata yeye mwenyewe kwenye hotuba zake alikiri kuwa hakuwa akiongoza serikali ya malaika.Taarifa za Kifedha Uswiz zinasema viongoz wa tz walianza kuficha fedha uswiz 1974 je nao ni wazee wa kashata? Hata kama kwa mtazamo wako Nyerere alikuwa bora kuliko wengine pia tambua haiondoi uwezekano wa kukosolewa!
 
Ni msomi wa zamani na Rais wa kwanza wa Tanzania, hakuna anaepinga hilo, nawe usipinge kuwa yeye ndiye aliifanya hii nchi kuwa maskini wa mwisho duniani, alikuwa dikteta, na ndiye chanzo cha udini Tanzania kwa kulitumikia Kanisa Katoliki zaidi ya wananchi wake ambao wengi wao si wakatoliki na ndio sababu mpaka alipostaafu Mwitongo akihudumiwa na ma sista wa kanisani kama ma hausigeli wake na ndio katuzwa uwenye heri akingojea muujiza wa kumfanya mtakatifu.

Mkuu najua kinachokusukuma kumsema Mwalimu..ni imani yako wala si kingine....maana watu wa imani yako ndio wanaongoza kwa kumsonga Mwalimu...
Lkn wenye akili tunajua hizo ndizo tabia zenu za asilikabisa katka imani yenu kugeuza geuza mambo..tunaowajua hamtusumbui...naweza weza hata kukupa andiko kutoka katika imani yako inayosapoti tabia zenu hizi za kufundishana hata kupigana bila kufikiri!!
Any way ..Nyerere kitu gani bwana, watu wanampinga Yesu kristo walimpinga akiwa hai, alipokufa,alipofufuka hadii leo wana mpinga na kupotosha mafundisho yake!! Watu wanampinga Mtume Mohamed SAW... walimpinga alipokuwa hai hadi leo wanampinga....!
Lakini mwisho wa siku kweli itasimama na itauweka huru, nuru itashinda giza!!
 
Back
Top Bottom