wewe unasemaje kuhusu hitoria ya nchi-ilipotosha au la? Nyerere alikaribishwa kwenye siasa na wazee wa dsm -je wamewahi kutajwa kwenye historia? Haikupotoshwa hapo kwa maslahi ya kumlinda huyo nyerere? Kila kitu kafanya yeye kutafuta uhuru, hii inaingia akilini kwako? Zinduka kuondokana na fikra mgando kuwa nyerere ni kila kitu tz. Hata kama asingekuwapo tz ingekuwapo na tungepata uhuru mapema zaidi-rejea kuomba uhuru uhairishwe tz (ombi la nyerere un).
Lengo lake lilikuwa nini? Kuimarisha kanisa katoliki.
Radio iman na nyengine zinazochambua ubaya wa nyerere zinawaelemisha wa tz kuhusu hujuma za kihistoria zilizofanywa kupotosha historia ya nchi na mkakati wa nyerere dhidi ya waislam waliopigania uhuru wa nchi hii na kisha kuwekwa pembeni kwa mwavuli wa udini. Hafai kabisa kusimuliwa kwa wema hata kidogo