TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,763
- 4,046
Nimeshawa kutembea peku,sembuse makatambuga!Soma vizuri somo la Historia ili ujue binadamu alitoka wapi,yupo wapi na anaelekea wapi!Umeshawahi kuvaa makatambuga kama fashen bila kupenda?
Ulaya na marekani zimetoka mbali sana mbaka kufika hapo zilipo ambapo zinaonekana kama shamba darasa!Suala la maendeleo ni mchakato,huwa linachukua muda mrefu!
Lengo la Nyerere ilikuwa ni kulinda viwanda vya ndani ili viendelee kutoa ajira kwa vijana na watanzania kwa ujumla.Haya sasa mliojifanya mnajua kutawala mmeua viwanda vyote matokeo yake vijana hawana ajira na hii ikiendelea vijana watawang'oa madarakani!