MSIBA:Kokudo afiwa na mwanae . . . . . !!

MSIBA:Kokudo afiwa na mwanae . . . . . !!

pole sana kokudo mungu akupe nguvu na amani aaaaaaaamen:crying:
 
Mungu ampe faraja katika kipindi hiki kingumu cha kuondokewa na mtoto wake
 
Eiyer nimekusoma nilikuwa porini mtandao kikohozi kitupu
kokudo popote pale ulipo kindly receive my Commiseration
 
Last edited by a moderator:
Eiyer nimekusoma nilikuwa porini mtandao kikohozi kitupu
kokudo popote pale ulipo kindly receive my Commiseration

Napenda kuchukua fulsa hii kuwashukuru wote mliokua pamoja kunitakia pole na kufanikisha musiba wa mwanangu sina cha kuwalipeni but mungu wa mbinguni atawalipeni pia nimshukuru mtoa madaEiyer kwa kuwafikishieni ujumbe huu maana mimi sikuwa na wazo hili asanteni sana pia wale walionitumia ujumbe mfupi sms pia dada angu alienipigia simu mungu akujaalie afya njema umeonyesha upendo wa hali ya juu sana nawapenda wooote
 
Ni wakati mgumu sana,lakini ni lazima tukubaliane na matokeo tu
'
Mwana JF mwenzetu tena mkongwe kokudo amefiwa na mwanae wa kiume jana na mazishi yanatarajiwa kufanyika kijijini kwao kokudo Ibadakuli
'
Ndugu yangu na rafiki yangu mpendwa sana kokudo amenipigia simu muda huu na kunijulisha kuwa mwanae wa miezi mitatu amèariki kwa tatizo la kifua
'
Kwa yoyote atakaehitaji kumpa pole mwenzetu huyu kwa simu unaweza kumpata 0713 131 366(ametoa ruksa niweke namba yake)
'
Bwana alitoa na bwana ametwaa,jina lake libarikiwe
'
Dena Amsi popote ulipo pokea taarifa hii!

Asante mkuu Eiyer kwa taarifa.....

Pole sana kokudo na Mungu akutie nguvu!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mkuu Kakudo mungu akutie nguvu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom