MSIBA:Kokudo afiwa na mwanae . . . . . !!

MSIBA:Kokudo afiwa na mwanae . . . . . !!

Pole sana kokudo. Mungu akupe ujasiri na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu.
RIP our little angel.
 
Last edited by a moderator:
pole sana kokudo
Mungu akupe nguvu katika kipindi hichi
 
pole sana kokudo, innalillah wa inna illah rajiun.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana kakudo kwa kupoteza mtoto..Bwana yu nawe ktk kipindi hiki kigumu
 
Last edited by a moderator:
Mwenyenzi MUNGU Baba wa Rehema nyingi akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu


kokudo
 
Last edited by a moderator:
Kokudo ukweli ni kwamba, faraja yangu si kitu, si zaidi ya mtoto uliyempoteza, ngoja nirudi nyuma nimwache Mungu akufariji maana faraja yake ni zaidi ya faraja za wanadamu...

MMU tunakupenda... Mungu akutie nguvu usimame na usonge mbele tena..
 
Poleni sana kwa msiba. Allah awatie nguvu na subra kwneye kipindi hiki kigumu.
 
pole koku,misiba huwa inauma sana,lakini ya mtoto dah inakua too much Mungu akupe nguvu ! pole sana
 
Mkuu kokudo, napenda kuungana na Wanajamii wenzangu kukupa Salam zangu za dhati kwa msiba mzito uliokupata wewe na familia yako. M/Mungu akutangulie na ukuongoze na busara zake katika msiba huu mzito.
Pole sana ndugu kokudo.
 
Pole sana kokudo.....Mwenyezi Mungu akupe wepesi katika hili........
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Pole kwa kokudo na familia, Mwenyezi Mungu awape wepesi....
 
Last edited by a moderator:
Pole sana ndugu yangu,ndio Maisha yalivyo,wakati mwingine ni mafupi mno,
Hamna shaka,little baby amerest in peace,
 
Pole sana kokudo.

Sent from my hp EliteBook 8460p using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom