Mshtuko: Bajeti ya Wizara ya Elimu Zanzibar ni karibu nusu ya Bajeti ya Elimu Tanzania Bara

Kosa la Oscar Kambona mwingereza kuratibu Mapinduzi akishirikiana na waingereza wenziwe. Mzigo wa zenji ubwebwe tu
 
Tatizo nini? Hapo sijakuelewa, vipi elimu uichanganye na umeme? Au ni sekta moja hiyo?

wao si wame fanya bajeti yao ya elimu na vipaumbele vyao na sisi tumefanya bajeti yetu na vipaumbele vyetu?

Umeme usikupe shida sana Zanzibar wameshapata mwekezaji kutoka Tanzania bara, Rostam Aziz anakwenda kuwekeza umeme wa jua.

Mimi nahisi wazee wa Rostam Aziz walitokea Zanzibar, ni katika wale Mabulushi waliokuja kuikomboa Zanzibar kutoka krusedi ya Mreno. Walivyomalizakumkimbiza Mreno wakahamia bara huko kulima mpunga. Maana si kwa uwekezajii huo, ni mkubwa sana, Ma shaa Allah. Damu nzito kuliko maji.
Mabrushi waliikomboa zanzbar au waliiteka zanzbar toka kwa mkoloni mwenzao mreno???????? Ukombozi zanzbar ulikuja 1964
 
Alimtuma Mwinyi kuiwakilisha JMT kule Uarabani, halafu Mwinyi akawa anaiongelea Zanzibar tu.
Anajaribu kujipendekeza kwa wazenji ila hawamkubali hata awape nini, wanamuita mbongo tu. Ni kweli safari yake kafanya ya Zanzibar tu, halafu karudi mikono mitupu
 
Zanzibar hapana hizo hela sijui huwa zinaenda wapi mishahara ya walimu na watendaji wao tu huko mkitajiwa hapa mnaweza kimbia wale watu ni pesa wanawapa na majini..
Wanatumia kusambazia u.kimw.i tu, kuna DC mmoja huyo humkosi disco anavowabaka watoto wenye asil ya Tanganyika huku akijulikanwa hali yake tungu akiwa chamani Dodoma kabla hajapata skendo ya kuhonga soda takklu
 
Sababu kuu ya kujenga nyumba za ghorofa huwa ni ufinyu wa eneo, sasa kwetu Maswa shule ya ghorofa ya kazi gani mzee?
Nafahamu hilo vizuri sana, sasa bajeti ya hilo jengo itakuwa sawa na shule yenu huko maswa.
 
Sijaelewa tatizo nini?

Hiyo hesabu uliyoweka mbona sioni kinachokaribia nusu hapo? Naona inakaribia moja ya tatu 1/3.

Vipi, hesabu zinakupiga chenga?
Ume gawanya na population? Au ndio Walimu walio feli kufundisha wengine?
 
Bibi huu ni muda wa kumpa utelezi mumeo. Tafadhari zima data kwa afya ya ndoa yako. Kama namba moja anatoa utelezi ni nani wewe ukeshe mitandaoni badala ya kumkumbatia mumeo?
Hivi madrasa siku hizi hamfundwi kulea ndoa zenu?
 
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Bi. Leyla Mohamed, leo amewasilisha bajeti ya wizara yake na kuomba kuidhinishiwa kias cha shilingi 457B.
Wakati hapo nyuma Kidogo Wazir wa Elimu Tanzania aliomba kuidhunishiwa kias cha Shilingi 1.55Trln.

Nikiwa natambua kwamba Elimu ya Juu ni jambo la Muungano. Lakini Kuna msawal hayana majibu.

1.Idadi ya wanafunzi wote Zanzibar hawafiki lak 5.
2. Idadi ya wanafunzi wa Darasa la saba waliofanya mtihani Zanzibar mwaka jana hawafiki elf 40.
3. Idadi ya wanafunzi Tanzania Bara ni zaid ya milion 10.

Kwa Muktadha huo.
Bajet ya Elimu Zanzibar kwa kila mwanafunzi Zanzibar ni wastani wa Shil 900,000(Laki Tisa), Wakati Tanzania Bara ni shiling 150,000(Laki na Hamsini Elfu)

Swali la kujiuliza, ni kwel Zanzibar inapendelewa au inajiliza ili ipendelewe hasa kwenye maswala kodi za Chakula, vifaa nk?

Juzi tu hapa tunataka kusamehe deni la umeme zaidi ya Bil 60, kwenye nchi inayotuzidi bajeti ya elimu?
na bado wanavuta mkia
 
Haya ni matokeo tu ya kutokujua kipi ni kipi; Zanzibar inajichukulia ni "sawa" na Tanzania Bara. Katika "usawa" huu basi haya mengine yanatokea. TUmekuwa na hofu ya "kuimeza" Zanzibar... yaani, sidhani kama Zanzibar ingekuwa "nchi huru" ingekuwa na bajeti inayofikia ya JIji la Dar.
Tuiache ijitegemee
 
Mtoa mada unahasira ya nini, bajeti ni makisio ya matumizi kwa mwaka husika kulingana na matarajio ya makusanyo ya kodi kupitia vyanzo mbalimbali vya upatikanaji wa fedha. Ngoja uone kile kiwango halisi cha fedha kitakachokuja kutumika kutekeleza malengo ya bajeti hiyo.

ACHA KIHEREHERE ZANZIBAR INADANYA MAMBO YAKE KWA NAMNA YAKE USIUMIZWE NA MIPANGO TUU.

ZANZIBAR IKO KIMYA MUDA MREFU WAKATI TANGANYIKA INAITAFUNA KWA MAUMIVU MAKALI.

WAZANZIBARI HAWAJAWAHI KUTAMANI KUWA KWENYE MUUNGANO MNAOUONA KUWA WAZANZIBARI WANANUFAIKA NAO HIVI SASA KINACHOWAUMA KATILA NAFSI ZENU KUONA SAMIA ANAJARIBU KUSIMAMIA HAKI NA UWIANO KATIKA MUUNGANO MNAANZA MAKALELE .

MNYAMAZE TUUU.

HAKIKA MUNGU NDIYE HAKIMU WA HAKI
Ataondoka tu
 
Back
Top Bottom