Mshahara wa Mwanajeshi wa Tanzania

Mshahara wa Mwanajeshi wa Tanzania

Vipi ukijiunga halafu ukakuta mshahara wako hautoshi kununua hata vocha? Wewe ukiambiwa kuna kazi hapa unasotea sana halafu usiambiwe utalipwa sh ngapi utaifanya? Yaani unaacha familia unapelekwa kambini hata babu yako akifa unaweza usipewe ruhusa ya kuja kuzika. Halafu unataka usijue unalipwa sh ngapi?? Hebu tumieni akili.
INATEGEMEA UNAPELEKWA NA MAPENZI YA KAZI AU MASLAHI,KM MASLAHI KAKA NAKUSHAURI USIHANGAIKE PAMBANA NA JAIRA ZA MTAANI KM TRA NA MIFUKO YA JAMII AMBAPO UNAAZA KAZI LEO MWAKA KESHO KUTWA UMEACHA NA UTAKUWA NA AMANI ILA KWA JESHI \ UTAPATA SHIDA NA WANAUSALAMA JESHINI WAKIKUJUA UTASOTA NA KA V AU KANYOTA MPAKA USTAFIEPO MAANA HAUTAKUWA RECOMMENDED FOR COURSE AND PROMOTION NA UKIKATA TAMAA NDO UTAVURUNDA WAKUFUNGE KWENYE MAGEREZA YAO
 
Mbona mnapenda kukuzà vitu kwani mshahara una siri gara au ndi nyakara nyeti. mishahara ya nchi zilizoendelea ya wanajeshi kama UK na USA Mbona ipo hadharani kila mtu anajuwa
mimi sijui, upload document nione au toa website ilipo hyo mishahara na mm nione
 
Nimesoma mpaka mwisho ila nimeona wadau wanajadili Simba na Yanga...ngachoka!!
Hivi mshahara kutajwa ni siri ya nchi sasa wananchi ni akina nani na wanaostahili kujua ni akina nani?
 
ACHEN UNAFIK,HAKUNA SIRI DUNIANI,KAMA TAIFA KAMA USA LIKO WAZI KWENYE MSHAHARA,TZ ETI WANAFICHA !ULIMBUKENI TU WA WAAFRIKA,
VITU NONSENSE KWEL,RAIS MWENYWE MSAHARA UKO WAZ NA NDO AMIR JESHI,askar wa kawaida usijulikane.....

SHAME ON YOU
Unachokisema ni sawa na kusema Marekani wameruhusu ushoga na sisi turuhusu
 
mishahara inategemea mfumo wa jeshi na cheo cha askari sio elimu ya uraiani,km kuna wakati walitoa grace pariod basi ni faida ya hiyo intake,KUNA WATU MWAKA WA 20 WAPO LUTENI NA ALIINGIA ADVANCED DIPLOMA



IMEZUILIWA
Umemaanisha RESTRICTED???
 
Safi sana, Mkuu! Nimependa sana jibu hili na liwafikie wote wenye tabia hii ya kuuliza uliza mishahara ya watu/ofisi za serikali.


kwa nini msiulizwe??? mishahara siyo siri na ndo mana hata majarida ya nje yakajua Tanzania ni mojawapo ya nchi 5 Duniani inayolipa mishahara midogo xana,,,!! kuliko nchi zote duniani,,,

Wengi wenu mnaota matumbo kwa laki mbili tu,, mkikutwa kwenye maofisi mnajikuta mnakaripia had watu mnaowahudumia, ambao in fact ndo wamewaweka hapo..!!!! isemwe tu ili tuone hayo mavitambi ni ya halali au ya wizi...!!!!!

Wengine wanaridhika tu na hivyo vijicenti kisa kaambiwa utakua mnyapara

cpend xana tabia ya mtu kujikuta Mungu mtu akiwa kwenye kioffice ukiwa na shida...!!!!!!!!!!!!!!!
Na hata wasaidizi wangu nimewapa sheria kali juu ya nidhamu kwa mteja,, mteja mfalme ht ikibibd viatu unamlamba......
 
kwa nini msiulizwe??? mishahara siyo siri na ndo mana hata majarida ya nje yakajua Tanzania ni mojawapo ya nchi 5 Duniani inayolipa mishahara midogo xana,,,!! kuliko nchi zote duniani,,,

Wengi wenu mnaota matumbo kwa laki mbili tu,, mkikutwa kwenye maofisi mnajikuta mnakaripia had watu mnaowahudumia, ambao in fact ndo wamewaweka hapo..!!!! isemwe tu ili tuone hayo mavitambi ni ya halali au ya wizi...!!!!!

Wengine wanaridhika tu na hivyo vijicenti kisa kaambiwa utakua mnyapara

cpend xana tabia ya mtu kujikuta Mungu mtu akiwa kwenye kioffice ukiwa na shida...!!!!!!!!!!!!!!!
Na hata wasaidizi wangu nimewapa sheria kali juu ya nidhamu kwa mteja,, mteja mfalme ht ikibibd viatu unamlamba......
fanya kazi kwa waraka wa utumishi wa umma na si kwa upendeleo pasipo kuangalia ni mteja wa namna gani!ofisi kwangu ukija na mambo ya chama au ujuaji bila kuzingatia docoments muhimu nakuelekeza ili uje umekamilika nikupe huduma
 
huku pia wapo ila wao ni kusomaga tuu hawa post wala wala nn
 
Watu wana degree,hawana ajira. Wanatafuta nafasi za jeshi desperately baada ya kuona uahueni wao. Mnaleta story za uzalendo. Hata hizo UN missions watu wanaenda wakijua wakirudi si haba.
Kwa nchi yetu hapa ilipofikia tusidanganyane kuwa kuna uzalendo pia. Kama mpaka watu wa usalama wanaweza wakala rushwa unategemea nini? Kuna watu wanaofundishwa UZALENDO kama Maafsa wa TISS? Mbona nchi kila siku inaingia mikataba mibovu na ufisadi wa kutisha, unadhani haya yote yanatokea pasipo mkono wa usalama kubariki? Hao ni Usalama, Jeshi je? Kama wao ndo wanauzalendo kwanini nao wanashirikiana na wanasiasa kuzima mikutano ya kisiasa ya vyama vya upinzani? Mkuu hawa watu wanaodai uzalendo wewe wapuuzie tu.
 
ACHEN UNAFIK,HAKUNA SIRI DUNIANI,KAMA TAIFA KAMA USA LIKO WAZI KWENYE MSHAHARA,TZ ETI WANAFICHA !ULIMBUKENI TU WA WAAFRIKA,
VITU NONSENSE KWEL,RAIS MWENYWE MSAHARA UKO WAZ NA NDO AMIR JESHI,askar wa kawaida usijulikane.....

SHAME ON YOU
Nimeshakupa LIKE yako Mkuu, tunasemaga majini ni viumbe vya ajabu ila HAKUNA kiumbe cha ajabu kama Mwafrika.
 
jeshi halina vyama vya wafanya kazi,jeshi haliruhusu majadiliano ni utekelezaji,jeshi ukigoma front adhabu yake inajulikana,jeshi huwezi kusema nadai vyeo au mshahara hautoshi tuandamane and much more
uko sahihi kabisa...naona sasa umeanza kuelewa somo. kutokuwapo vyama vya wafanyakazi ambako mdau angeenda kuuliza mshahara wa mwanajeshi anayeanza kazi ndio sababu hasa iliyomfanya muuliza swali kuja kuweka swali lake humu. sasa kama unajua kiwango cha mshahara huo mwambie, vinginevyo ufunge mdomo wako usubiri wanaofahamu waje watoe jawabu.
 
Sasa kama huo mshahara umetangazwa hadharani si unaujua, kwanini usiuweke hapa mtoa mada akafahamu? Unakuwa kama fenesi tu miba mingi ila ndani tamu
bado tunasubiri wanaofahamu waje wamjibu muuliza swali. nashangaa wewe unashupalia watu wasijuzwe mshahara wa mwanajeshi wakati nao ni waajiriwa kama waajiriwa wengine. wewe kinakuuma nini mtu akijua mshahara kabla ya kuomba kazi? unakuwa kama mwamamke mwenye mimba anayemchukia mtu pasipo sababu ya msingi. hv wewe ungekuwa jike si ungekuwa lishankupe mkuu?
 
hata akiujua utamsaidia nini sasa, mshahara wa Raisi hata ukiujua haukufanyi uvutike kuiomba nafasi hiyo,,,, sasa jeshini ni kada ya kawaida kabisa kama mtu unapenda kujiunga na jeshi wewe nenda kajiunge si basii suala la mshahara utakutana nalo huko huko sio suala letu huna uzalendo wewe maana unatanguliza pesa sana badala ya wito binafsi
Hivi wewe ni lazima uchangie!? Kama wewe huoni unuhimu wa mshahara kutangazwa huo ni mtazamo wako na wala hatukulaumu......basi na wewe waache wengine wenye mtazamo tofauti na wako wapate taarifa.
 
Rate ya mshahara ni ya lawaida kabisa sio kubwa kama unavyodhani kwani ni pesa ya kawaida sana ila kumbuka kule ni kujitoa tu na sio kwenda kwa lengo la mishahara mikubwa .Tuwahamasishe vijana wetu wapate hamasa ya kwenda kujiunga na vyombo hivi vya ulinzi kwa faida ya TAIFA na si kwa lengo la kupata mshahara mzuri
 
bado tunasubiri wanaofahamu waje wamjibu muuliza swali. nashangaa wewe unashupalia watu wasijuzwe mshahara wa mwanajeshi wakati nao ni waajiriwa kama waajiriwa wengine. wewe kinakuuma nini mtu akijua mshahara kabla ya kuomba kazi? unakuwa kama mwamamke mwenye mimba anayemchukia mtu pasipo sababu ya msingi. hv wewe ungekuwa jike si ungekuwa lishankupe mkuu?
Sio kosa lako.. Hayo maneno unaonyesha umelelewa na mzazi mmoja, au ilikuwa mimba zisizotarajiwa ukazaliwa tu ndo maana hawakupoteza muda kukufunza adabu na namna ya kuongea ukiwa na watu...
 
Jeshini hakuna mshahara ni mchanganyiko wa posho mbalimbali.

Kazi ya Jeshi si ya kufuata maisha mazuri sio jambo la msingi hilo.

Sheria ya utumishi wa umma haitumiki ktk majeshi ya JWTZ,Magereza,Polisi na TISS

Majeshi wana mifumo yao ya kupashana habari za ndani za kila siku kuhusu maslahi yao.

Maslahi yao ndani ya Majeshi ni ya kawaida tu hakuna miujiza kama inavyosemekana huku nje.
 
hata akiujua utamsaidia nini sasa, mshahara wa Raisi hata ukiujua haukufanyi uvutike kuiomba nafasi hiyo,,,, sasa jeshini ni kada ya kawaida kabisa kama mtu unapenda kujiunga na jeshi wewe nenda kajiunge si basii suala la mshahara utakutana nalo huko huko sio suala letu huna uzalendo wewe maana unatanguliza pesa sana badala ya wito binafsi
Kwani kuna ubaya kutaka kujua kitu hata km hakina msaada kwako?damn
 
Back
Top Bottom