Sasa kama wametumia njia ya amani kama hii ya kuulizana kwa kawaida ya mdomo tu, imekuaje sasa wanamteka huyo mzee...?Aiandikia Chadema barua nyingine na kuwataka wajieleze Kwa Maneno aliyoyasema Kiongozi wa Baraza la Wazee na ametumia Maneno ya mtaani yenye kumaanisha hukumu tayari imeshatolewa. Manano kama "mwana kulitafuta, mwana kulipata " na "mtoto asipolelewa na wazi atalelewa na Ulimwengu"
Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.
Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko ?
Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama !
Bora wakifute kinapoeleka sipo kilianza kama chama cha kichaga kikaja cha kikanda sasa kinaelekea kuwa cha kigaidi naomba mungu kifutwe tuone hiyo mioyo yenu
Wanasheria wengi wa Tanzania hasa wa serikali ni bure tu .... usidhani amekosea, huo ndiyo utakuwa ni uwezo wake ........!!Msajili alipaswa kutumia kifungu cha 21 cha sheria ya vyama vya siasa na sio kifungu cha 19(2l(f) ambacho kinahusu vyama vyenye usajili wa Muda na sio usajili wa kudumu
Huyu msajili mgeni Nchi hii kipindi Cha kina Heri James , Polepole,Kibajaji na kina KIHONGOSI KENANI wanatoa lugha za chuki aliwahi kuwaansikia barua CCM?Aiandikia Chadema barua nyingine na kuwataka wajieleze Kwa Maneno aliyoyasema Kiongozi wa Baraza la Wazee na ametumia Maneno ya mtaani yenye kumaanisha hukumu tayari imeshatolewa. Manano kama "mwana kulitafuta, mwana kulipata " na "mtoto asipolelewa na wazi atalelewa na Ulimwengu"
Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.
Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko ?
Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama !
Kifutwe tu hicho chama cha wahuni wakilala wanawaza uhuni wakiamka wanawaza Fujo sasa chama kilikuwa kinageuzwa cha kigaidi
Tanzania bila ugaidi inawezekana
CHADEMA kina usajili wa kudumu kwenye mioyo ya watanzania sijui anaifuta kwenye makaratasi,huyu mutungi naye anatumika vibaya na ccmKifutwe tu hicho chama cha wahuni wakilala wanawaza uhuni wakiamka wanawaza Fujo sasa chama kilikuwa kinageuzwa cha kigaidi
Tanzania bila ugaidi inawezekana
Ccm kwa kushirikiana na Tiss wana mpango wa kuanzisha chama kingine cha upinzani baada ya kujua kwa sasa Cdm ni imani. Wanajua hata waanzishe chama kingine hatakitavutia ikiwa bado Cdm ipo. Ccm wanajua fika hawana uwezo wowote wa kushindana tena na cdm kupitia box la kura, na wanaona aibu kushindwa na cdm kwenye box la kura. Hivyo wanaona bora waiue Cdm kwa hila, kisha waanzishe chama kingine chenye maelekezo ya ccm.Ni u-emature mkubwa kudhani kuwa msajili anauelipwa na serikali atatenda kinyume na serikali inataka.
Duuuh sasa huu ujaji aliupataje?Msajili alipaswa kutumia kifungu cha 21 cha sheria ya vyama vya siasa na sio kifungu cha 19(2l(f) ambacho kinahusu vyama vyenye usajili wa Muda na sio usajili wa kudumu
Sawa mtafanya siasa kampeni uchaguzi kwenye hiyo mioyo yenu
Duuuh sasa huu ujaji aliupataje?
Msajili mwenye kadi ya ccm anateuliwa na ccmAiandikia Chadema barua nyingine na kuwataka wajieleze Kwa Maneno aliyoyasema Kiongozi wa Baraza la Wazee na ametumia Maneno ya mtaani yenye kumaanisha hukumu tayari imeshatolewa. Manano kama "mwana kulitafuta, mwana kulipata " na "mtoto asipolelewa na wazi atalelewa na Ulimwengu"
Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.
Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko ?
Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama !
Barau ndio nini?Aiandikia Chadema barua nyingine na kuwataka wajieleze Kwa Maneno aliyoyasema Kiongozi wa Baraza la Wazee na ametumia Maneno ya mtaani yenye kumaanisha hukumu tayari imeshatolewa. Manano kama "mwana kulitafuta, mwana kulipata " na "mtoto asipolelewa na wazi atalelewa na Ulimwengu"
Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.
Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko ?
Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama !
Mutungi ameshindwa kabla ya kuanza
Wanadhani upinzani ni chadema!Shida ya taifa ili sio chadema shida ni ccm ambao hadi leo wameshindwa likomboa taifa toka kwenye umasikini. Sera mbovu