Msajili wa Vyama vya Siasa awaandikia barau nyingine CHADEMA, ataka wajieleze

Aiandikia Chadema barua nyingine na kuwataka wajieleze Kwa Maneno aliyoyasema Kiongozi wa Baraza la Wazee na ametumia Maneno ya mtaani yenye kumaanisha hukumu tayari imeshatolewa. Manano kama "mwana kulitafuta, mwana kulipata " na "mtoto asipolelewa na wazi atalelewa na Ulimwengu"

Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.

Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko ?

Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama !
Sasa kama wametumia njia ya amani kama hii ya kuulizana kwa kawaida ya mdomo tu, imekuaje sasa wanamteka huyo mzee...?

Yaani hii serikali ni ya kipumbavu sana, yaani wanamtaka mtu aliyetenda kosa la kisheria ajieleze wakati huohuo tayari imeshaamua kutumia njia ya kishenzi kumshughulikia...!

Wana akili kweli hawa...????
 
Bora wakifute kinapoeleka sipo kilianza kama chama cha kichaga kikaja cha kikanda sasa kinaelekea kuwa cha kigaidi naomba mungu kifutwe tuone hiyo mioyo yenu

Wajumbe kama wewe:

IMG_20211004_181149_783.jpg


Huwa si haba kuwaomba kupeleka salamu:

IMG_20210930_170832_807.jpg
 
Aiandikia Chadema barua nyingine na kuwataka wajieleze Kwa Maneno aliyoyasema Kiongozi wa Baraza la Wazee na ametumia Maneno ya mtaani yenye kumaanisha hukumu tayari imeshatolewa. Manano kama "mwana kulitafuta, mwana kulipata " na "mtoto asipolelewa na wazi atalelewa na Ulimwengu"

Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.

Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko ?

Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama !
Huyu msajili mgeni Nchi hii kipindi Cha kina Heri James , Polepole,Kibajaji na kina KIHONGOSI KENANI wanatoa lugha za chuki aliwahi kuwaansikia barua CCM?

Chadema wasimjibu Kama walivyo mpotezea barua ya mwanzo,Kama vipi aifute.
 
Kifutwe tu hicho chama cha wahuni wakilala wanawaza uhuni wakiamka wanawaza Fujo sasa chama kilikuwa kinageuzwa cha kigaidi


Tanzania bila ugaidi inawezekana
Kifutwe tu hicho chama cha wahuni wakilala wanawaza uhuni wakiamka wanawaza Fujo sasa chama kilikuwa kinageuzwa cha kigaidi


Tanzania bila ugaidi inawezekana
CHADEMA kina usajili wa kudumu kwenye mioyo ya watanzania sijui anaifuta kwenye makaratasi,huyu mutungi naye anatumika vibaya na ccm
 
Ni u-emature mkubwa kudhani kuwa msajili anauelipwa na serikali atatenda kinyume na serikali inataka.
Ccm kwa kushirikiana na Tiss wana mpango wa kuanzisha chama kingine cha upinzani baada ya kujua kwa sasa Cdm ni imani. Wanajua hata waanzishe chama kingine hatakitavutia ikiwa bado Cdm ipo. Ccm wanajua fika hawana uwezo wowote wa kushindana tena na cdm kupitia box la kura, na wanaona aibu kushindwa na cdm kwenye box la kura. Hivyo wanaona bora waiue Cdm kwa hila, kisha waanzishe chama kingine chenye maelekezo ya ccm.

Inshort ccm inataka kuanzisha ccm nyingine kwa mlango wa nyuma, baada ya kujua kwa sasa wao hawana mvuto wowote tena kwa umma.
 
Sawa mtafanya siasa kampeni uchaguzi kwenye hiyo mioyo yenu

Umma umeshawachoka,mtatoka hata kwa machafuko ama umma kuwasusia kama unavyoendelea sasa. Kwani hata sasa si kuna chaguzi za marudio, umeona Cdm wanataka kushiriki popote? Umeona wananchi wana mwitikio wowote wa kushiriki hizo chaguzi za kishenzi na kihayawani?
 
Watanzania wajinga Wanapungua kila uchao. Wochi out! Siwafichi! Nasema uongo ndugu zangu?
 
Aiandikia Chadema barua nyingine na kuwataka wajieleze Kwa Maneno aliyoyasema Kiongozi wa Baraza la Wazee na ametumia Maneno ya mtaani yenye kumaanisha hukumu tayari imeshatolewa. Manano kama "mwana kulitafuta, mwana kulipata " na "mtoto asipolelewa na wazi atalelewa na Ulimwengu"

Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.

Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko ?

Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama !
Msajili mwenye kadi ya ccm anateuliwa na ccm
 
Aiandikia Chadema barua nyingine na kuwataka wajieleze Kwa Maneno aliyoyasema Kiongozi wa Baraza la Wazee na ametumia Maneno ya mtaani yenye kumaanisha hukumu tayari imeshatolewa. Manano kama "mwana kulitafuta, mwana kulipata " na "mtoto asipolelewa na wazi atalelewa na Ulimwengu"

Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.

Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko ?

Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama !
Barau ndio nini?
 
Back
Top Bottom