DaudiAiko
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 302
- 274
Kama kiongozi au mtu maarufu, ni muhimu kufahamu kwamba sio kila mtu ataridhika na kazi unayofanya au kukuunga mkono katika kila kitu utakachofanya. Kwenye hili, kusemwa kwa yasiyo sahihi, kuandikwa au hata kutukanwa ni kitu cha kawaida sana. Haipendezi kuona vitisho kama hivi kwasababu wahusika wamesemwa kidogo tu na wasio waunga mkono