Aiandikia Chadema barua nyingine na kuwataka wajieleze Kwa Maneno aliyoyasema Kiongozi wa Baraza la Wazee na ametumia Maneno ya mtaani yenye kumaanisha hukumu tayari imeshatolewa. Manano kama "mwana kulitafuta, mwana kulipata " na "mtoto asipolelewa na wazi atalelewa na Ulimwengu"
Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.
Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko?
Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama!
Aidha Msajili amenukuu kifungu cha 9(2)(f) cha sheria ya vyama vya siasa ambacho kipo mahususi Kwa ajili ya vyama ambavyo vina usajili wa Muda na havijapata usajili wa kudumu ndio anataka kuitumia kuihukumu Chadema ambayo ina usajili wa kudumu.
Msajili anatafuta njia ya kuifutia Chadema usajili , atakuwa anafanya haya Kwa maslahi ya Nani au ndio Ile Gang unataka kuitumbukizanchi kwenye machafuko?
Nimeambatanisha barua husika kutoka ofisi ya msajili wa Vyama!