Wala hawahitajiki waendelee na Saccos yao. Wanataka sifa si ulimsikia msaliti alivyosema jana alipokuwa pale Ufipa?Viongozi wakuu wa Chadema wamefika uwanja wa Uhuru leo saa moja asubuhi ndipo wakazuiwa kuingia wakiambiwa wasubiri kwanza utaratibu.
Ilipofika saa tatu asubuhi viongozi kadhaa walianza kumiminika na kuruhusiwa kuingia uwanjani huku viongozi wa Chadema wakiwa bado getini.
Rais alipofika akaingia ndipo viongozi wa Chadema wakaambiwa hakuna tena kuingia uwanjani.
Ndipo nasema sasa kila mtu afanye shughuli yake ili mradi hatutavunja katiba.