HujaelewaRais anaenda na ving’ora! Wacha utani wewe!
Ushabiki wako ambao haujapitiliza unakuambia nn ktk hili mkuu. Acha kujitoa ufahamuUshabiki uliopitiliza usi kuondolee uwezo wa kufikiri.
Wewe msaka cheo unamuona wa kawaida lkn watz na Dunia inamuona mtu wa muhimu zaidi Tanzania ya sasa sio huyo mzee wa kufokafokaMuhimu kwako wewe, sio kwa Watanzania. Lisu kwa sasa ni raia tu kamaa mimi na wewe
Lkn walikua on time kulingana na ratiba sasa ww Unaongelea kitu gani cha tofauti....CHADEMA SIO VIONGOZI,CHADEMA NI TAASISI INAYOPAMBANA KUCHUKUA DOLA.
HIVYO VIONGOZI WAO WANAWAJIBIKA KUFUATA TARATIBU ZA KIDOLA.
Sababu zipi mkuu..Wewe kweli umechanganyikiwa kabisa nani kawazuia wakenya na kwa sababu zipi? Hahaha wao wana sababu zao
Hofu ya nn sasa...... Tulia uingiziwe kitu chenye ncha kali October 28😀😀Chadema ni chama cha walafi na hata hivyo kishajifia.
Wao walifika ontime kwa mujibu wa ratiba sasa kuhusu protokali ww ndo uliwaambia kwamba wamgefika saa moja kamili asubuhi?Lisu ana siku 1 toka afike hapo chadema tayari mambo vururu vururru!
Hivi chadema hakuna mwenye akili hata mmoja aliyeweza kuwashauri kwamba wanachemka?
Prof. Baregu si mnae huko au hamtaki kumtumia awashauri mambo ya protocol.?
Mbona yule mzee wa makelele na kufokafoka katoka tu msibani anaanza kupiga makelele yake kwa nn haumkatazi au ndo wale wasaka vyeo....Easy mkuu. Kama sio sympathy kwanini haikuacha TL arudi bila kupigia kelele jamii kwamba ndio anarudi. kwanza suala la kubaki hai au kufa ni la kwake na mungu...kwanini msingefanya kimyakimya suala la kubaki na uhai wake
Ndio Rais ajaye km hutaki kunywa sumu au meza we be kenge wwINAMUHIMU GANI HIYO TAKA?
Tabia yetu malofa tunafanya kwa vitendo......Mawazo yako tu ni ya kilofa.
Kumbe unajua?Tabia yetu malofa tunafanya kwa vitendo......
Tulimtibu Tundu Lissu baada ya serikali ya kishetani ya ccm kukataa maana walitaka afe
Tumechanga na kuwatoa viongozi wetu hapo majuzi hata pale mbwa ccm walipojaribu kujipendekeza kwa Msigwa wameambulia aibu kuu.....
Majuzi malofa kwa maelfu wamempokea shujaa na mzalendo wa kweli TUNDU Lissu...
Sisi ndio malofa mbwa ww