Msaada wa kutatua changamoto ya Whatsapp yangu

Msaada wa kutatua changamoto ya Whatsapp yangu

Apo weka namba mpya ili utumie kwa kipind upo kwenye zuio na huaga inachukua siku 30 adi 40 iyo namba kutumika upya
 
Mnapenda sana mambo ya ajabu ajabu tu
Sasa wewee kufanya huduma ya video calls na bado hujui mbinu?

Uwe unauliza waja wakupe ABC za kudukua pesa za wanaume waroho wa maku.
Sasa ukastukiwa mwanetuu? 😂😂😂
 
Ma IT watuletee Whatsapp na fb za hapa hapa bongo.Hawa jamaa wamezidi maringo
Noo actually ni violation hizo unofficial apps huwa zinakuwa na source code tofauti mtu anaweza ku hack accounts
 
Back
Top Bottom