Muyabi colors
JF-Expert Member
- Oct 18, 2024
- 2,685
- 3,830
NdioIla inawezekana sio?
NdioIla inawezekana sio?
Tatizo lako ni mbishi haya endelea kubisha, hilo tatizo nimeshawahi kutumia hadi Ai ya whatsapp kwa email wanakufundisha jinsi ya kutatua. Njia zote hadi kureset simu zilidunda. Ila namba hiyohiyo iliyofungwa ilipotumika simu nyingine iliikubali.Tatizo sio simu KK namba zingine Zina fanya kazi vizuri.. Ni hii ilopigwa ban tu, nataka ni jaribu kwenye device nyingine nione
Mimi nilikuwa na app mbili moja ilikuwa official... Walinifungia kwenye unofficial ila hii official iko salama mpaka sasa.Tatizo lako ni mbishi haya endelea kubisha, hilo tatizo nimeshawahi kutumia hadi Ai ya whatsapp kwa email wanakufundisha jinsi ya kutatua. Njia zote hadi kureset simu zilidunda. Ila namba hiyohiyo iliyofungwa ilipotumika simu nyingine iliikubali.
Tulifungua akaunti nyingine na hiyo simu nayo ikapigwa ban vilevile,. Hadi mwenye simu kabadili. Nakushauri rudisha dukani kama bado ni mpya na ina warantii ukiipeleka ikachokonolewe wataikataa.
Yangu ni hayo tu, utaamua unavyotaka wewe.
nothingVp tena mkuu
kuna mahali umesikia natafutwa?OK, umepotea lakini!
oooh ukanikoswa?Ni mimi nilikuwa nakutafuta
karibu sanaNdio, sasa nimefurahi kukuona
hebu change hiyo emoj wanaume huwa hawaitumii
ayaIna maana gani kwani?
Kuna mchina nilikuwa na chat nae sana alikuwa boss wangu Akipenda kuitumia. Kumaanisha "sawa"
Mitandao niliyowahi kula ban ni Jf na Twitter.Coincidence tuu sina uzoefu