Castle_Lite
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 4,505
- 9,962
Yes,
Nimepost humu karibuni mara mbili na nilijaribu option hizo zoote..
Nilikuwa natumia unofficial apps, ndo ilikuwa chanzo cha ban
Baadae wadau wa kasema niache tu wataifungua baada ya muda
Ila takriban mwezi sasa Hola tu
yaan Ume unistall Whatsapp alaf ukaenda playstore kudownload upya na imegoma?.
Hakikisha files zoote za whatsapp iliyoleta shida zimefutika kwa simu