Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 1,712
- 5,700
Nilikuwa simfahamu huyu ndugu yangu, ni mtoto wa mama mdogo, nimemfahamu juzi kwenye family gathering event😭ni damu yangu kabisa halafu kijana, mara ya kwanza nlivomuona tabia zake, na jinsi anavotembea, Nilipata mashaka nikahisi kuna kitu kimempungukia kama mwanaume.
Nlivyokuja kuongea naye sasa oh gosh 😭😭anavoweka mikono, vidole, halafu body language yake anajishebedua kwa pozi za kike kabisa, halafu Muda mwingi alikuwa anashinda jikoni na dada zake sijui wamemzoea.
Nikamvuta pembeni dada yake mmoja kuonyesha mshangao wangu, nikamwambia hili ni janga kwenye familia yetu, akaniambia In very simple way ni shida tu ya homoni..
Kuna waliowahi kuwa na Tatizo hili au ndugu wenye tatizo hilo halafu likarekebishika? Kingereza linaitwa "effeminacy" Maana Nimegoogle nikaona mwanaume kuwa hivyo na tabia za kike haimaanishi kuwa ni shoga, ila kuna uwezekano Mkubwa wa yeye Kuja kuwa shoga.
Janga hili kwenye familia yetu😭😭
Nlivyokuja kuongea naye sasa oh gosh 😭😭anavoweka mikono, vidole, halafu body language yake anajishebedua kwa pozi za kike kabisa, halafu Muda mwingi alikuwa anashinda jikoni na dada zake sijui wamemzoea.
Nikamvuta pembeni dada yake mmoja kuonyesha mshangao wangu, nikamwambia hili ni janga kwenye familia yetu, akaniambia In very simple way ni shida tu ya homoni..
Kuna waliowahi kuwa na Tatizo hili au ndugu wenye tatizo hilo halafu likarekebishika? Kingereza linaitwa "effeminacy" Maana Nimegoogle nikaona mwanaume kuwa hivyo na tabia za kike haimaanishi kuwa ni shoga, ila kuna uwezekano Mkubwa wa yeye Kuja kuwa shoga.
Janga hili kwenye familia yetu😭😭