King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
hahahahahahahahahahahahahahahahaha
:A S-frusty2::hand:
:A S-frusty2::hand:
Mshahara wowote duniani unalipwa mwisho wa mwezi wa kazi, mwisho wa wiki ya kazi au mwisho wa kipindi chochote cha kazi mlichokubaliana, kama vile labda sisi wabeba zege, kazi ya siku ikiisha tu tunashikishwa chetu saa hiyo hiyo, hapo hapo, hutaki hatuondoki, ukikomaa tunamwaga sabuni kwenye zege, tunasepa, hatuna TUCTA wala mikataba sisi!
Sasa kama uki quit kazi unarudisha hela kwa mwajiri, unarudisha hela ipi wakati hakuna mtu duniani analipwa mshahara in advance?
In fact, uki quit kazi ghafla leo, bado kuna hela yako uliyofanyia kazi 'bure,' haijalipwa, toka kipindi cha mshahara wa mwisho hadi leo. Kwa hiyo wewe ndio unadai. Sijui nyinyi mnalipwa lipwaje huko, una quit halafu unaambiwa rudisha mshahara...! Hahahahahahaaa....