bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
Nataka kujifunza kwa kesi kwa ujumla wake na sio hii.
Kama mtu alikubali kwenye mkataba kuwa atalipa mshahara wa mwezi mmoja akikatiza mkataba bila ya notice, na akakatiza soon baada ya kupewa mshahara, hatua gani zitachukuliwa kwake?
hapo ni rahisi kukamatwa kwenye malipo ya mafao yako tu...mwajiri akikujazia fomu za mafao yako kuna kakipengele mfano kwenye fomu za PPF utajaza mafao yapite kwa mwajiri na wanakukata juu kwa juu. kama vipi unaweza pelekwa mahakamani vile vile na mwajiri akudai mshahara wa mwezi, si umevunja makubaliano bwana.