Wanasheria wabobezi migogoro ya kazi naomba msaada

Mr Smart Money

Senior Member
May 21, 2018
106
148
Nilimfungulia kesi mwajiri wangu kwa kuniachisha kazi unfairly tena kwa taarifa ya mdomo kwa kosa la uchelewaji wa siku moja tu
~Ni tangu mwezi April
~Kesi ipo CMA hatua ya uamuzi
~Upande wa pili hawajawahi kufika kwenye hearing lakini summons wanazipokea
~Sina mkataba wa maandishi, wala kitambulisho
~Siku naachishwa kazi niliomba barua nikaambiwa sina mkataba nao kwaiyo nipotelee mbali
~Nimefanya kazi mwaka 1
~Kwa kuwa nilikuwa sina kielelezo chochote zaidi ya uniforms nikaamua kurudi kufatilia barua ya kuachishwa kazi kwa waajiri wangu nikamuandikia barua mkurugenzi wa kampuni ila barua yangu haikupokelewa ushahidi upo ila sijaufaili
ndani ya wiki hiyo nilipewa barua ya kunitaka niandike maelezo juu ya tuhuma zangu mbili na niijibu ndani ya saa48;

1)Kuchelewa kufika kazini
2)Utoto zaidi ya siku 5 mfururizo tangu tarehe 05/04/2023 ambapo hiyo tarehe ndio siku jana yake nilikuwa nmefukuzwa kazi na nikaambiwa nisionekane tena ofsini
~Barua niliisain nikawapatia nakala moja nikaiandikia maelezo nikakubali kosa la uchelewaji ila kosa la utoto nikakanusha
Cha ajabu nilipowapataia majibu ya barua hiyo waligoma kupokea na kuniambia kwamba hatupokei majibu kwa kuwa kesi ipo CMA acha tusubiri maamuzi yatoke.

Duh nilihisi kama tayari kimeumana nshajichanganya

Dah wakuu naombeni ushauri apo natokaje
Au ndo nishayakanyaga?

Inatarajiwa kusikilizwa upande mmoja
 
Nilimfungulia kesi mwajiri wangu kwa kuniachisha kazi unfairly tena kwa taarifa ya mdomo kwa kosa la uchelewaji wa siku moja tu
~Ni tangu mwezi April
~Kesi ipo CMA hatua ya uamuzi
~Upande wa pili hawajawahi kufika kwenye hearing lakini summons wanazipokea
~Sina mkataba wa maandishi, wala kitambulisho
~Siku naachishwa kazi niliomba barua nikaambiwa sina mkataba nao kwaiyo nipotelee mbali
~Nimefanya kazi mwaka 1
~Kwa kuwa nilikuwa sina kielelezo chochote zaidi ya uniforms nikaamua kurudi kufatilia barua ya kuachishwa kazi kwa waajiri wangu nikamuandikia barua mkurugenzi wa kampuni ila barua yangu haikupokelewa ushahidi upo ila sijaufaili
ndani ya wiki hiyo nilipewa barua ya kunitaka niandike maelezo juu ya tuhuma zangu mbili na niijibu ndani ya saa48;

1)Kuchelewa kufika kazini
2)Utoto zaidi ya siku 5 mfururizo tangu tarehe 05/04/2023 ambapo hiyo tarehe ndio siku jana yake nilikuwa nmefukuzwa kazi na nikaambiwa nisionekane tena ofsini
~Barua niliisain nikawapatia nakala moja nikaiandikia maelezo nikakubali kosa la uchelewaji ila kosa la utoto nikakanusha
Cha ajabu nilipowapataia majibu ya barua hiyo waligoma kupokea na kuniambia kwamba hatupokei majibu kwa kuwa kesi ipo CMA acha tusubiri maamuzi yatoke.

Duh nilihisi kama tayari kimeumana nshajichanganya

Dah wakuu naombeni ushauri apo natokaje
Au ndo nishayakanyaga?

Inatarajiwa kusikilizwa upande mmoja
Kosa la Utoto ni kosa la namna gani? Ama ni utoro?

Kufanya kazi bila mkataba ni sawa na kujitolea. Kesi yako labda ingelikuwa kukufanyisha kazi bila mkataba kwa zaidi ya muda unaotakiwa kisheria.

Ngoja tuwasubiri wajuzi wa Sheria.
 
Je, hapo kazini ulikuwa unasaini daftari la mahudhurio?

Je, malipo ulikuwa unasaini dirishani au unawekewa benki?

Je, walinzi walikuwa wakikuona ukiingia kazini na kutoka ?

Je, kwenye kazi au majukumu yako hayo ya mwaka mmoja hapo , kuna kazi yoyote utakayoitambulisha au through laptops au through writings ambayo itakusaidia kuwa kama ushahidi ?

Anyways, mara zote waajiri huwa wanashindwa hizi kesi kutokana na dhana iliyopo ya udhalilishaji.

Be strong pia upate hata mwanasheria rafiki yako ili akushauri kitu cha kujitetea huko.


Mwisho be strong kama una akiba ujue kuitumia vizuri, yaweza kuwa mwanzo wa safari yako mpya?

And why you late to work na pia kwanini kutoroka?
 
Hiyo siyo kazi, ulikuwa unafanya kibarua. Hata hivyo nadhani hukuwa na mwenendo mzuri kazini. Waajiri wengi hawapendi kufukuza watu kazi ila wanalazimika kufanya hivyo kutokana na tabia za wafanyakazi. Jichunguze na nenda kuomba msamaha.
 
Je, hapo kazini ulikuwa unasaini daftari la mahudhurio?

Je, malipo ulikuwa unasaini dirishani au unawekewa benki?

Je, walinzi walikuwa wakikuona ukiingia kazini na kutoka ?

Je, kwenye kazi au majukumu yako hayo ya mwaka mmoja hapo , kuna kazi yoyote utakayoitambulisha au through laptops au through writings ambayo itakusaidia kuwa kama ushahidi ?

Anyways, mara zote waajiri huwa wanashindwa hizi kesi kutokana na dhana iliyopo ya udhalilishaji.

Be strong pia upate hata mwanasheria rafiki yako ili akushauri kitu cha kujitetea huko.


Mwisho be strong kama una akiba ujue kuitumia vizuri, yaweza kuwa mwanzo wa safari yako mpya?

And why you late to work na pia kwanini kutoroka?
Daftari la mahudhurio lipo ila lipo ofsini

Mshahara nilikuwa nachukulia dirishani kwa kusaini paylol

Mimi mwenyewe ndo nilikuwa mlinzi

Nilichelewa kwa kwa bahati mbaya kutokana na dharura ya siku hiyo

Asante kwa kunitia moyo dada
 
Hiyo siyo kazi, ulikuwa unafanya kibarua. Hata hivyo nadhani hukuwa na mwenendo mzuri kazini. Waajiri wengi hawapendi kufukuza watu kazi ila wanalazimika kufanya hivyo kutokana na tabia za wafanyakazi. Jichunguze na nenda kuomba msamaha.
Mkuu mimi nilkuwa sijawahi kuwa mtoro kazini hata siku moja sema tu wametengeneza huo uongo baada ya kusikia nmewashtaki
 
Nilimfungulia kesi mwajiri wangu kwa kuniachisha kazi unfairly tena kwa taarifa ya mdomo kwa kosa la uchelewaji wa siku moja tu
~Ni tangu mwezi April
~Kesi ipo CMA hatua ya uamuzi
~Upande wa pili hawajawahi kufika kwenye hearing lakini summons wanazipokea
~Sina mkataba wa maandishi, wala kitambulisho
~Siku naachishwa kazi niliomba barua nikaambiwa sina mkataba nao kwaiyo nipotelee mbali
~Nimefanya kazi mwaka 1
~Kwa kuwa nilikuwa sina kielelezo chochote zaidi ya uniforms nikaamua kurudi kufatilia barua ya kuachishwa kazi kwa waajiri wangu nikamuandikia barua mkurugenzi wa kampuni ila barua yangu haikupokelewa ushahidi upo ila sijaufaili
ndani ya wiki hiyo nilipewa barua ya kunitaka niandike maelezo juu ya tuhuma zangu mbili na niijibu ndani ya saa48;

1)Kuchelewa kufika kazini
2)Utoto zaidi ya siku 5 mfururizo tangu tarehe 05/04/2023 ambapo hiyo tarehe ndio siku jana yake nilikuwa nmefukuzwa kazi na nikaambiwa nisionekane tena ofsini
~Barua niliisain nikawapatia nakala moja nikaiandikia maelezo nikakubali kosa la uchelewaji ila kosa la utoto nikakanusha
Cha ajabu nilipowapataia majibu ya barua hiyo waligoma kupokea na kuniambia kwamba hatupokei majibu kwa kuwa kesi ipo CMA acha tusubiri maamuzi yatoke.

Duh nilihisi kama tayari kimeumana nshajichanganya

Dah wakuu naombeni ushauri apo natokaje
Au ndo nishayakanyaga?

Inatarajiwa kusikilizwa upande mmoja
Mwenye jukumu la kuthibitisha kama Una mkataba wa kazi au la kisheria nila mwajiri, na jukumu la kuthibitisha kama ulisimishwa kazi kinyume cha taratibu(isivyofaa)ni mwajiri pia. cha muhimu hapo ni kujua ulikuwa umeanza kazi lini?malipo yalikuwaje?makubaliano juu ya taartibu za kazi yalikuwa yapi? Mengine tafata wakili au mtaalamu wa mambo ya kazi kama ulivyoelekezwa na wadau na uwasiliane na muwakilishi wako na kuzungumza kabla ya kesi,Ila kwa mazingira ya kesi yako ukijipanga vizuri unaweza shinda.
kila la kheri
 
Back
Top Bottom