Mpaka sasa sijui ni kwanini Simba SC, Serikali, TFF, CCM na Wanachama wa Simba SC walikuwa wanalazimisha Fainali ya CAFCC ipigwe kwa Mkapa

Mpaka sasa sijui ni kwanini Simba SC, Serikali, TFF, CCM na Wanachama wa Simba SC walikuwa wanalazimisha Fainali ya CAFCC ipigwe kwa Mkapa

Msemaji ameeleza sababu hizo, ukifatilia taarifa zake utaelewa kwanini. Na Leo watatoa taarifa yao hivyo fatilia kama unataka kujua zaidi
 
Sio simba tu, hata yanga wanatakiwa wautumie huo uwanja kwa mashindano ya kimataifa.

Sababu ni kua una uwezo wa kujaza mashabiki wengi wa kila eneo la nchi hivyo kuongeza hamasa kwa wachezaji.

Pia itasaidia kuongeza mapato maana hizi ndio giant clubs kwa hii nchi na zina mashabiki wengi.

Michezo kuipeleka Znz unakua haujawatendea haki mashabiki wa bara ambao ni wengi. Rule of majority!
 
Sio simba tu, hata yanga wanatakiwa wautumie huo uwanja kwa masindano ya kimataifa.

Sababu ni kua una uwezo wa kujaza mashabiki wengi wa kila eneo la nchi hivyo kuongeza hamasa kwa wachezaji.

Pia itasaidia kuongeza mapato maana hizi ndio giant clubs kwa hii nchi na zina mashabiki wengi.

Michezo kuipeleka Znz unakua haujawatendea haki mashabiki wa bara ambao ni wengi. Rule of majority!
Mkuu! Hii ni very technical
 
Hawana sababu za msingi zaidi ya kuwazuga mbumbumbu.Wangekua na sababu za maana wangejitahidi uwanja ukamilike toka muda mrefu kwasababu haya mashindano hayajaibuka ghafla kama jipu.Sasa walipokua wanalazimisha mechi itakua kwa mkapa wakati wanajua uwanja mmbovu walikua wanadhani kutakua na miujizaa gani ili Caf waukubali.Bongo bahati mbaya.
 
Sio simba tu, hata yanga wanatakiwa wautumie huo uwanja kwa masindano ya kimataifa.

Sababu ni kua una uwezo wa kujaza mashabiki wengi wa kila eneo la nchi hivyo kuongeza hamasa kwa wachezaji.

Pia itasaidia kuongeza mapato maana hizi ndio giant clubs kwa hii nchi na zina mashabiki wengi.

Michezo kuipeleka Znz unakua haujawatendea haki mashabiki wa bara ambao ni wengi. Rule of majority!
uwanja unafaa? i mean pitch
 
Kwasababu ndio uwanja wao wa Nyumbani.
Simba SC inamiliki Uwanja? Mkapa Stadium ni Uwanja wa Simba SC? Tokea lini? Halafu GENTAMYCINE nikiwadharau kwa kuwa MASIKINI NA MNA UDUMAVU WA AKILI mnachukia wakati kumbe Kiuhalisia huwa nakuwa sahihi.
 
Hawana sababu za msingi zaidi ya kuwazuga mbumbumbu.Wangekua na sababu za maana wangejitahidi uwanja ukamilike toka muda mrefu kwasababu haya mashindano hayajaibuka ghafla kama jipu.Sasa walipokua wanalazimisha mechi itakua kwa mkapa wakati wanajua uwanja mmbovu walikua wanadhani kutakua na miujizaa gani ili Caf waukubali.Bongo bahati mbaya.
😃😃😃🙌 Sijui kwanini viongozi wetu walishindwa ku act professionally
 
Simba SC inamiliki Uwanja? Mkapa Stadium ni Uwanja wa Simba SC? Tokea lini? Halafu GENTAMYCINE nikiwadharau kwa kuwa MASIKINI NA MNA UDUMAVU WA AKILI mnachukia wakati kumbe Kiuhalisia huwa nakuwa sahihi.
Nimegundua wewe una matatizo ila hujijui,hivi mtu akisema" Kwa sababu ndiyo UWANJA wao wa nyumba" ki soka anakuwa anamaanisha umiliki? Hao bercane ule uwanja waliochezea ni uwanjani wa nyumba je wanaumiliki?
 
Simba ni wajanja sana. Walishaona hawawezi kuifunga Berkane wakaona watafute kisingizio. Na hatimaye tayari wameshafanikiwa kupata kisingizio KWAMBA WANGECHEZA KWA MKAPA WANGESHINDA
 
Nimegundua wewe una matatizo ila hujijui,hivi mtu akisema" Kwa sababu ndiyo UWANJA wao wa nyumba" ki soka anakuwa anamaanisha umiliki? Hao bercane ule uwanja waliochezea ni uwanjani wa nyumba je wanaumiliki?
POPOMA hajawahi kuwa na akili, yeye ni kukurupuka tu
 
Back
Top Bottom