Moshi yakataliwa kuwa jiji

Moshi yakataliwa kuwa jiji

Mh hangaya alipokuwa moshi leo ameikataa moshi kupandishwa kuwa mji akisema haina sifa

My take kaamua kubalance na chato

Minne inatosha
Chief Hangaya, anasema umbali kutoka Moshi Kwenda Vunjo ni Km 20 tu? Hivyo Moshi haiwezi kuwa Jiji. Je huu mbali ni Kweli au chief Hangaya Hai hesabu au hajui Jimbo la Vunjo liliko? Pia chief Hangaya hakumbuki kuwa Ili mbunge wa jimbo la Moshi mjini Tanzania apete kura alitumia gear ya kuwaambia wananchi kuwa akichaguliwa atafanya moshi kuwa Jiji sasa ameunguza picha. Pia hivyo hivyo Dr Kimei huko vunjo aliwahadaa wananchi wampe kura atafanya vunjo iwe Halmashauri inayojitegemea sasa sasa karata imegeuzwa. Hii ni pigo Kilimanjaro Tanzania kama pigo la huko chato la kunyimwa mkoa. Bado gazette la uhuru liheshimiwe na CCM mwaka 2025.

6EC5AA87-30F3-47B0-A0E5-ECAE297354D4.jpeg
 
Mh hangaya alipokuwa moshi leo ameikataa moshi kupandishwa kuwa mji akisema haina sifa

My take kaamua kubalance na chato

Minne inatosha
Nchi hii ni ya ajabu sana. Madiwani ambao ni wawakilishi wa wananchi tulitegea wapambane wananchi wapate huduma bora za afya- bima ya afya kwa kila mtu, elimu bora, miundo mbinu mizuri ya barabara, wanainchi wafundishwe kilimo bora na kuongeza thamani ya mazao yao n.k. Badala ya madiwani kupambania hayo wapo wanataka miji yetu iwe majiji- Tanga ni jiji, Mbeya ni jiji, Dodoma ni Jiji, Arushani jiji, Mwanza ni jiji na of course Dar. Sasa ni nini kimebadilika kwa mji kama Tanga kuitwa jiji. Au, Dodoma au Mbeya. Maisha yanazidi kuwa duni tu, hadhi ya jiji haibadili maisha ya mtu. Ni afadhali tufikirie mbinu za kuwatoa wananchi wetu kwenye umaskini kuliko kupambania miji yetu iitwe majiji
 
Kilimanjaro msitegemee kubebwa kama Mwanza, Dodoma, Geita. Kama umeisikiliza hotuba ya Samia utajua kuwa mnaangaliwa kama watu mliopo mbele sana kimaendeleo na hasa pale aliposhangaa Kilimanjaro kulilia miundombinu ya maji ya umwagiliaji wakati mikoa mingine hawana maji ya kunywa.
Ila ilikuwa Sio hotuba ya Rais it’s something else
 
Nchi hii ni ya ajabu sana. Madiwani ambao ni wawakilishi wa wananchi tulitegea wapambane wananchi wapate huduma bora za afya- bima ya afya kwa kila mtu, elimu bora, miundo mbinu mizuri ya barabara, wanainchi wafundishwe kilimo bora na kuongeza thamani ya mazao yao n.k. Badala ya madiwani kupambania hayo wapo wanataka miji yetu iwe majiji- Tanga ni jiji, Mbeya ni jiji, Dodoma ni Jiji, Arushani jiji, Mwanza ni jiji na of course Dar. Sasa ni nini kimebadilika kwa mji kama Tanga kuitwa jiji. Au, Dodoma au Mbeya. Maisha yanazidi kuwa duni tu, hadhi ya jiji haibadili maisha ya mtu. Ni afadhali tufikirie mbinu za kuwatoa wananchi wetu kwenye umaskini kuliko kupambania miji yetu iitwe majiji
Umenena vyema ila tungepewa hivohivo tu
 
Mwenye Aliyeandaa hotuba ya chief Hangaya iliyosomwa huko Kilimanjaro Moshi Tanzania Ana matatizo au kuna shida mahali. Kama haina shida Chief Hangaya hakutambua Dr Kimei ni mbunge wa wapi na hiloJimbo liko upande gani. Pamoja na hilo Wakazi wengi wa Kilimanjaro waliosikiliza hotuba hiyo hawakuilewa mfano, Prof Adolf Mkenda, Prof Ndakidemi, Dr Charles Kimei, Dr Mathayo na wengine wengi. CCM jitafakirini kuhusu 2025 naona kama tunapotea
 
Hakuna kitu Arusha migomba hadi mjini hapo sanawari. Jiji la Mwanza lina wilaya mbili Nyamagana na Ilemela. Hiyo Arusha yako ina wilaya ngapi za mjini ? Kumbuka muda wowote kuna wilaya ya tatu inatarajiwa kuzaliwa jijini Mwanza ambayo ni Kisesa. Leo unakuja na stori za Arusha hapa. Usiwe unalinganisha Mwanza na hicho kijiji mnachokiita ki arusha.

Watu wa kaskazini huwa inawauma sana Arusha kuzidiwa na Mwanza tena by far.!

Hio Moshi yenyewe imedumaa miaka nenda rudi iko vile vile ndani ya miaka 10 ijayo itazidiwa na miji mingi tu ya kanda ya ziwa kama Kahama na Geita.!
 
Moshi bado sana. Wasiwe na haraka. Watakuja kufika tu huko hata kama ni mwaka 2050!
 
Watu wa kaskazini huwa inawauma sana Arusha kuzidiwa na Mwanza tena by far.!

Hio Moshi yenyewe imedumaa miaka nenda rudi iko vile vile ndani ya miaka 10 ijayo itazidiwa na miji mingi tu ya kanda ya ziwa kama Kahama na Geita.!
Hujui usemalo zaidi mihemko, ila itakuwa jiji tu piga ua
 
Acha Domokaya we simbilisi jike..Mbeya Jiji Lina wakaazi takribani 600,000 na Lina mapato wastani wa bil.15 kwa mwaka mbele ya Mwanza Jiji.

Tanga Jiji Lina mapato wastani wa bil.12 kwa mwaka na wakaazi wanaokadiriwa zaidi ya 450,000 ..

Sasa.wewe unataka miji iwe kama London ndio ujue ni Jiji au?
Mkuu uyo anataka kila jiji liwe lmepangwa hajaiona mumbai
 
Kanda Ya Kaskazini Noma Sana Yaani Wanataka Mikoa Yao Yote Iwe Majiji Tanga, Kilimanjaro, Arusha

Hangaya Kaona Isiwe Tabu Kilimanjaro Ngojeni Kwanza
 
Tatizo wazawa wa Moshi wanakwenda kupeleka maendeleo kwenye Miji ya wenzao. Wametapakaa Nchi nzima.
 
Kiukweli moshi n kubwa lakn lakn moshi ni ndogo inatakiw ipanuke zaidi
 
We naye Mwanza Jiji unapolizungumzia uelewe kuwa hujamlisha Ilemela Manspaa amvayo bdio size ya Mbeya. Sasa hiyo Mbeya yenye barabara moja tu ya maana unasema kwamba hilo ni jiji kweli kama siyo choko tu ?
Njia moja??? Huijui mbeya bro au labda ulikatisha na lori
 
Back
Top Bottom