Mh hangaya alipokuwa moshi leo ameikataa moshi kupandishwa kuwa mji akisema haina sifa
My take kaamua kubalance na chato
Minne ina
Tatizo Moshi umefanywa kuwa ni mji wa kwenda kufanya ziara na kuwarudisha nyumbani sio mji wa kiuchumi hivyo ukuwaji wake sio endelevu kwa sasa hivyo Mapato ya ndani ya mlima Kilimanjaro n.k kwa wastani na idadi ya watu ni mdogo sana.Mh hangaya alipokuwa moshi leo ameikataa moshi kupandishwa kuwa mji akisema haina sifa
My take kaamua kubalance na chato
Minne inatosha
Try to speak sense. Ni mtu wa kabila gani amekuja na serious project akakataliwa ardhi? Na huko mikoa mingine Arusha, Dodoma etc, nani wamewekeza huko. Si hawa wachaga??Tatizo la Moshi kutoendelea ni ukabila umetawala pale, wale jamaa huwa hawaachii ardhi kwa wawekezaji wageni (kabila tofauti na Chagga) pale Moshi town biashara nyingi ni za wenyeji. Wachaga badilikeni, kalibisheni wageni wachangamshe mji huo.
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Tanga,Bandari ya Bahari,ni tosha kuwa Jiji,bila hata kuweka vigezo vingine.Bandari ya Tanga,inatumika kwa mikoa ya kaskazini na nje ya nchi,kwa mafuta na Bidhaa mbali mbali.Moshi bado kamji kadogo sana, hata Tanga sijui kwanini ilipewa hiyo hadhi ya kuwa jiji, Mbeya...... naona kuna haja ya kuyatazama upya majiji yetu kama kweli yana vigezo.
Na Tanga,mji wenye Bandari,Kubwa,ya kushusha mafuta na Bidhaa nyingi tu.Tanzania majiji tunajipajipa tu ilitakiwa yawe mawili tu DSM na MWZ kwa sasa hayo mengine bado sana
Tanga,ni Jiji,Bandari ya Tanga,ndio inayosambaza mafuta mpaka nje ya Tanzania.Kweli kabisa. Arusha na tanga ni kama wamerazimisha iitwe jiji.
Majiji ni Tanga na Dar,kwenye Bandari Kubwa za kusafirisha mafuta.Mafuta,petrol,diesel ndio uti wa mgongo wa uchumi wa nchi.Majiji Tanzania ni Dar es Salaam, Arusha na Mwanza tuu hy mingine ni utani tuu
Kwani uamuzi wa manispaa kugeuzwa kuwa jiji ni wa Rais peke yake? Na hao wanaoomba hawajui kuwa kuna sifa na viwango vinavyotakiwa kufikiwa kabla ya kuwa jiji?Mh hangaya alipokuwa moshi leo ameikataa moshi kupandishwa kuwa mji akisema haina sifa
My take kaamua kubalance na chato
Minne inatosha
Zanzibar sio jiji?Hii ni kweli. Kwa Tanzania majiji ni dar na mwanza tu. Kwingine ni kulazimisha Mambo
Njia moja??? Huijui mbeya bro au labda ulikatisha na lori
Tanga,ni Jiji,Bandari ya Tanga,ndio inayosambaza mafuta mpaka nje ya Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Moshi inapungukiwa vigezo viwili tu na ningumu kuvifikia moja watu waanzie 500000 pili kujitegemea kwa budget kwa asilimia 95 sasa moshi kwenye mapato wanazidiwa na manispaa changa kama kahama hii ni aibuMkuu moshi inastahili sema mama katuchoma tuwe sawa na chato
Naunga mkono hojaNi rahisi Moro town kuwa jiji kabla ya Moshi
Unavijua vigezo vya manispaa kupanda na kuwa hadhi ya jiji au umesema kuwaunga mkono wanywa kahawa wenzako hapo ulipo.... !!!usitumie masaburi kufikiri MkuuMoshi bado kamji kadogo sana, hata Tanga sijui kwanini ilipewa hiyo hadhi ya kuwa jiji, Mbeya...... naona kuna haja ya kuyatazama upya majiji yetu kama kweli yana vigezo.
Punguza wivu basi ndio jiji sasa hutaki unatakaHiyo mbeya ndo kabisa ushubwadu mtupu.
Mji mzima ni slums tupu Kama mbagala
Unaweza kuta kasimuliwa tu mbeya kuko hivi arusha kuko vile,tanga kuna br 1 hadi 20 akija hapa yeye ndio Job Ndugai😂😂😂mkuu umefika uswazi basi unaashume mbeya yote ipo hivyo